330 wafariki kutokana na Ebola
Mlipuko wa Ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika umesababisha vifo vya watu 330 tangu mwezi Februari.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
84 wafariki kutokana na Ebola Guinea
Wataalamu wa afya nchini Guinea wamesema kuwa Watu themanini na wanne wamefariki kutokana na ugonjwa hatari wa Ebola.
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
31 wafariki kutokana na Ebola DRC
Shirika la afya duniani likishirikiana na wizara ya afya DRC imesema kuwa mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini humo umewaua watu 31.
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
208 wafariki kutokana na Ebola Guinea
Maafisa wa afya duniani wanaarifu kuwa watu wasiopungua 208 wameaga dunia kutokana na virusi vya Ebola nchini Guinea
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Wanne wafariki kutokana na bomu Nigeria
Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa mlipuaji wa kujitolea muhanga amewaua watu wanne na kuwajeruhi wengine kadhaa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zu0u45hyMeQ/VTz8BF4KVEI/AAAAAAABMok/16Z-feAYE5k/s72-c/9.jpg)
WATU ZAIDI YA 2,000 WAFARIKI DUNIA KUTOKANA NA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
![](http://4.bp.blogspot.com/-zu0u45hyMeQ/VTz8BF4KVEI/AAAAAAABMok/16Z-feAYE5k/s1600/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-G0Humwl8ILA/VTz7-fccgeI/AAAAAAABMnw/51Irpc8KmUs/s1600/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EjaqjaCeOrE/VTz7-u87UlI/AAAAAAABMn4/k7Bx94Kr6Zw/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z2fxpwZuWF4/VTz7-nx_suI/AAAAAAABMn0/tJlHg4hTdIo/s1600/12.jpg)
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Kasisi afariki kutokana na Ebola
Kasisi mmoja Muhispania aliyeambukizwa Ebola, Magharibi mwa Afrika , amefariki kutokana na homa hiyo hospitalini mjini Madrid.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s320/images.jpeg)
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Corona katika kipindi cha saa 24.
Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.
Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Vifo kutokana na Ebola ni zaidi ya 600
Vifo kutokana na Ebola huko Afrika magharibi ni zaidi ya 600 huku udhibiti ukicheleweshwa na changamoto zinazoibuka .
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Kifo cha pili kutokana na Ebola Nigeria
Nigeria imeripoti kifo cha pili kutokana na homa kali ya Ebola ambayo imekuwa janga kubwa katika kanda ya Afrika Magharibi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania