Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


330 wafariki kutokana na Ebola

Mlipuko wa Ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika umesababisha vifo vya watu 330 tangu mwezi Februari.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

84 wafariki kutokana na Ebola Guinea

Wataalamu wa afya nchini Guinea wamesema kuwa Watu themanini na wanne wamefariki kutokana na ugonjwa hatari wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

31 wafariki kutokana na Ebola DRC

Shirika la afya duniani likishirikiana na wizara ya afya DRC imesema kuwa mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini humo umewaua watu 31.

 

11 years ago

BBCSwahili

208 wafariki kutokana na Ebola Guinea

Maafisa wa afya duniani wanaarifu kuwa watu wasiopungua 208 wameaga dunia kutokana na virusi vya Ebola nchini Guinea

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanne wafariki kutokana na bomu Nigeria

Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa mlipuaji wa kujitolea muhanga amewaua watu wanne na kuwajeruhi wengine kadhaa

 

10 years ago

Vijimambo

WATU ZAIDI YA 2,000 WAFARIKI DUNIA KUTOKANA NA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL

 Siku moja baada ya kukumbwa na tetemeko kubwa la ardhi, Nepal imeshuhudia tetemeko lingine kubwa lililoelezewa kusababisha vifo vya zaidi ya watu 2,000 katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kathmandu.  Maofisa nchini humo wamesema kuwa vikosi vya uokoaji vinaendelea na kazi ya kuwatafuta watu walionusurika, na wanahofu kuwa idadi ya watu waliofariki dunia inaweza kuongezeka.Wananchi wakiwa wamekusanyika katika maeneo ya wazi mitaani mjini Kathmandu baada ya kutokea kwa tetemeko hilo. Tetemeko hilo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kasisi afariki kutokana na Ebola

Kasisi mmoja Muhispania aliyeambukizwa Ebola, Magharibi mwa Afrika , amefariki kutokana na homa hiyo hospitalini mjini Madrid.

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI

ROME, Italia
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki  dunia kutokana na ugonjwa wa Corona  katika kipindi cha saa 24.

Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.

Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vifo kutokana na Ebola ni zaidi ya 600

Vifo kutokana na Ebola huko Afrika magharibi ni zaidi ya 600 huku udhibiti ukicheleweshwa na changamoto zinazoibuka .

 

11 years ago

BBCSwahili

Kifo cha pili kutokana na Ebola Nigeria

Nigeria imeripoti kifo cha pili kutokana na homa kali ya Ebola ambayo imekuwa janga kubwa katika kanda ya Afrika Magharibi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani