Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kifo cha pili kutokana na Ebola Nigeria

Nigeria imeripoti kifo cha pili kutokana na homa kali ya Ebola ambayo imekuwa janga kubwa katika kanda ya Afrika Magharibi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Kifo cha pili charipotiwa Mali

Muuguzi nchini Mali amefariki kutokana na ugonjwa wa Ebola, hiki kikiwa kifo cha pili kutokana na Ugonjwa huo kudhibitishwa nchini humo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Tanzania imethibitisha kifo cha mtu mmoja kutokana na virusi vya corona

Tanzania yathibitisha kifo cha kwanza cha mgonjwa wa corona

 

9 years ago

Vijimambo

BARAZA LA VYAMA VYA SIASA LAAHIRISHWA KUTOKANA NA KIFO CHA MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Nchini, Peter Mziray (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu kuahirishwa kwa kikao cha baraza hilo kilichokuwa kifanyike Oktoba 6 na r7, 2015 kutokana na kifo Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila. Kulia ni Msajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa, Sisty Nyahoza na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge na Siasa na Rais wa ADA, John Chipaka.Msajili Msaidizi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yaenea katika kitovu cha mafuta Nigeria

Serikali ya Nigeria imethibitisha kutokea kifo cha daktari mmoja kutokana na ugonjwa wa Ebola katika mji wa Port Harcout nje ya Lagos.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

5 years ago

Michuzi

AWAMU YA PILI YA WATANZANIA WALIOKWAMA INDIA KUTOKANA NA UGONJWA WA COVID-19 WAREJEA NCHINI



Baadhi ya watanzania waliokuwa wamekwama  India kutokana na ugonjwa wa COVID-19 wakiwa ndani ya ndege maalum ya Air Tanzania wakisubiri kuondoka kurejea Tanzania katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chhatrapati Shivaji Jijini Mumbai tarehe 30 Mei 2020. Serikali ya India ilisitisha huduma ya kuingia na kutoka kwa ndege za kimataifa ikiwa ni moja ya mkakati wa kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa COVID-19.
Sehemu nyingine ya watanzania waliokuwa wamekwama nchini India wakiwa ndani ya ndege maalum ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

330 wafariki kutokana na Ebola

Mlipuko wa Ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika umesababisha vifo vya watu 330 tangu mwezi Februari.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kasisi afariki kutokana na Ebola

Kasisi mmoja Muhispania aliyeambukizwa Ebola, Magharibi mwa Afrika , amefariki kutokana na homa hiyo hospitalini mjini Madrid.

 

10 years ago

BBCSwahili

31 wafariki kutokana na Ebola DRC

Shirika la afya duniani likishirikiana na wizara ya afya DRC imesema kuwa mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini humo umewaua watu 31.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani