Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya Tanzania imethibitisha kifo cha mtu mmoja kutokana na virusi vya corona

Tanzania yathibitisha kifo cha kwanza cha mgonjwa wa corona

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Tanzania imethibitisha wagonjwa wapya 196

Idadi ya wagonjwa wa virusi vya Corona nchini Tanzania imefikia 480

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je mfumo wa maisha ya shule na vyuo utabadilika vipi kutokana na virusi Tanzania?

Nchini Tanzania, maelfu wa wanafunzi wa vyuo na wale wa sekondari wanaomaliza kidato cha sita hii leo wameanza rasmi masomo yao baada ya kuwepo katika likizo ya ghafla kwa muda wa miezi miwili iliyosababishwa na kutokea kwa janga la virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rwanda yabadili msimamo wa kuondoa kafyu baada ya mtu mmoja kufariki

Uamuzi wa saa sita usiku wa serikali kufutilia mbali hatua ya kupunguza masharti ya kukabiliana na virusi vya corona dakika chache kabla ya kuanza kutekelezwa, yanajiri baada ya Rwanda kurekodi kifo chake cha kwanza cha virusi vya corona mbali na kuongezeka kwa visa vipya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Nadharia za kuficha ukweli zaibuka kuhusu kifo cha mtaalamu wa corona.

Polisi nchini Marekani wanadai huenda mauaji hayo ni ya kimapenzi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanaume wawili wathibitishwa kufa kutokana na Covid-19 Tanzania

Kulingana na taarifa ya Wizara ya afya kuhusu Ugonjwa wa virusi vya corona nchini Tanzania wanaume hao wote wawili waliokufa ni raia wa Tanzania.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kenya yatangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa mwenye virusi vya corona

Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa aliyekuwa akiugua virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Bosi wa Amazon azoa bilioni 24 kutokana na mlipuko wa virusi

Matajiri 500 duniani wamepoteza kiasi cha dola bilioni 553 kwa mwaka huu mpaka hivi sasa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali, sayansi na sintofahamu ya mapambano dhidi ya corona Tanzania

Wakati serikali zote duniani zimeendelea kujifunza namna sahihi ya kupambana na ugonjwa huu, zipo zinazosifika na zile zinazokosolewa kwa namna zinavyopambana na Corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump

Marekani ina jumla ya wagonjwa wa corona 782,159 na vifo 41,816 kutokana na virusi hivyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani