Virusi vya corona: Rwanda yabadili msimamo wa kuondoa kafyu baada ya mtu mmoja kufariki
Uamuzi wa saa sita usiku wa serikali kufutilia mbali hatua ya kupunguza masharti ya kukabiliana na virusi vya corona dakika chache kabla ya kuanza kutekelezwa, yanajiri baada ya Rwanda kurekodi kifo chake cha kwanza cha virusi vya corona mbali na kuongezeka kwa visa vipya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Serikali ya Tanzania imethibitisha kifo cha mtu mmoja kutokana na virusi vya corona
Tanzania yathibitisha kifo cha kwanza cha mgonjwa wa corona
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Idadi ya maambukizi yapanda zaidi kwa siku Uganda, huku mtu wa kwanza akifariki Rwanda
Idadi ya maambukizi ya Virusi vya corona imeongezeka kwa kiwango cha juu zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa siku moja nchini zaidi kwa siku Uganda, huku mtu wa kwanza akifariki Rwanda.
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Virusi vya corona: Dawa ya Dexamethasona inaweza kuokoa maisha ya walio katika hatari ya kufariki na Corona
Dawa ya bei rahisi inayopatikana kwa urahisi Dexamethasone inaweza kusaidia maisha ya wagonjwa wa virusi vya corona waliopo katika hali mahututi.
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virusi vya corona: Simulizi ya mlimbwende wa zamani wa Rwanda aliyepona virusi
Viviane Uwizeye anasema binafsi aliwaita wahudumu wa afya baada ya kuhisi ana dalili za Covid-19
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya corona: Congo inavyopambana na Ebola na corona kwa wakati mmoja
Wakati ugonjwa wa Corona ukisambaa nchini humo, mamlaka ya afya ambayo sasa zinakabiliana na magonjwa yote mawili ya mlipuko hatari wakati wakiwahudumia wagonjwa wa mlipuko wa kipindupindu pia.
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya Corona: Jinsi damu ya mtu aliyepona corona inavyoweza kuwa tiba
Matumaini ni kwamba molekyuli walizozitengeneza zitasaidia kupambana na virusi vilivyo kwa wengine.
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya Corona: Rais wa Sierra Leone kujitenga baada ya mlinzi kuambukizwa virusi
Sierra Leone mpaka sasa ina wagonjwa 43 wa virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Trump hana 'mamlaka 'ya kuondoa marufuku ya kutotoka nje
Rais Donald Trump amedai kuwa anatumia nguvu zote ili kuhakikisha kuwa taifa kwa ujumla linajiondoa katika marufuku ya kutotoka nje kutokana na maambukizi ya virusi vya corona, jambo ambalo linatofautiana na kile ambacho magavana na wataalamu wa sheria wamesema.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Je roboti zinatumika vipi kwenye vituo vya Covid-19 Rwanda?
Rwanda imesema kuwa tayari inatumia roboti katika kuzuwia maambukizi ya virusi vya corona kwenye vituo vya ugonjwa huo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania