Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali yaua wanne Makatanini

WATU wanne wamefariki na 32 kujeruhiwa baada ya basi la abiria la Polepole, trekta na bajaji kugongana eneo la Makatanini, wilaya ya Babati mkoa wa Manyara. Kaimu Kamanda wa Polisi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ajali ya basi yaua wanne Dodoma

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeWATU Wanne wamekufa na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Nyahunge lililokuwa likitokea Mwanza kwenda Morogoro kugongana na gari dogo eneo la Nzuguni Mjini hapa.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ajali yaua padri na wengine wanne


NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
WATU watano, akiwemo Padri wa Kanisa Katoliki, Paulo Mwanyalila, wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti zilizotokea mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo iliyomwua Padri Mwanyanyila, gari lenye namba za usajili T241 BKZ aina ya Toyota Coaster, liligongana na gari liingine ambalo haijafahamika aina wala namba zake za usajili.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema ajali hiyo ilitokea juzi saa moja jioni katika barabara ya Mbeya- Tukuyu, eneo la...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali ya basi yaua wanne Bagamoyo

Watu wanne wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi la Hajees kupinduka katika Kijiji cha Mnazi, Kata ya Mandela wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani.

 

9 years ago

Mtanzania

Ajali ya basi yaua wanne Iringa

Na Mwandishi Wetu, Iringa

WATU wanne wamefariki dunia katika ajali ya basi la abiria mali ya Kampuni ya Luwinzo wilayani Mufindi mkoani Iringa.

Ajali hiyo ilitokea jana wilayani hapa kwa kuhusisha basi hilo lenye namba za usajili T 782 ACR linalofanya safari zake kati ya Njombe na Dar es salaam ambalo lilipata ajali asubuhi katika eneo la Kinegembasi Kata ya Mbalamaziwa.

Basi hilo lililokuwa likisafiri kutokea Njombe kuelekea Dar es Salaam liligongana na lori lenye namba za usajilli T 718...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali ya basi yaua wanne, wengine 40 wajeruhiwa

Basi la Wibonela ambalo hufanya safari zake kati ya Kahama na Dar es salaam limepinduka jana asubuhi na kuua watu wanne, akiwamo kichanga wa miezi mitatu, na kujeruhi wengine 40.

 

11 years ago

GPL

AJALI YA NDEGE YA MIZIGO YAUA WANNE KENYA

Ndege ya mizigo baada ya kuanguka. WATU wanne akiwemo rubani wa ndege wamefariki dunia baada ya ndege waliyokuwemo kuanguka leo alfajiri katika eneo la Utawala-Embakasi jijini Nairobi, Kenya. Ndege hiyo ya mizigo iliyokuwa inaelekea Mogadishu nchini Somalia imeanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta uliopo Nairobi. Kwa mjibu wa Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya, mwili wa mtu...

 

10 years ago

Habarileo

Mabasi yaua watu wanne Mpanda

WATU wanne wamekufa na wengine 14 wamejeruhiwa na kulazwa katika hospitali ya Wilaya ya Mpanda baada ya basi la Kampuni ya AN kugongana uso kwa uso na gari lingine.

 

5 years ago

Michuzi

RADI YAUA WATU WANNE, WENGINE 27 WAJERUHIWA WAKIWA KWENYE MTUMBWI WILAYANI UKEREWE


Na Mwandishi Wetu, Mwanza

WATU wanne wameripotiwa kufariki Dunia na wengine 27 kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa kwenye mtumbwi waliokua wakisafiria katika Ziwa Victoria wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.

Akizungunza leo kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Muliro Jumanne amesema lilitokea  Juni 23 mwaka huu ,saa mbili asubuhi katika Kitongoji cha Busele kilichopo Kata ya Bubiko wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.

Kamanda Muliro amesema mtumbwi huo wa abiria unaojulikana kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali yaua 21

WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani