RADI YAUA WATU WANNE, WENGINE 27 WAJERUHIWA WAKIWA KWENYE MTUMBWI WILAYANI UKEREWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-7KG1WK4u-PU/XvY7ySPj2EI/AAAAAAALvmw/4TkEtmYiBVUSJJ7Gp98J6KU7eZlek9kZACLcBGAsYHQ/s72-c/radi.jpeg)
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
WATU wanne wameripotiwa kufariki Dunia na wengine 27 kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa kwenye mtumbwi waliokua wakisafiria katika Ziwa Victoria wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.
Akizungunza leo kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Muliro Jumanne amesema lilitokea Juni 23 mwaka huu ,saa mbili asubuhi katika Kitongoji cha Busele kilichopo Kata ya Bubiko wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.
Kamanda Muliro amesema mtumbwi huo wa abiria unaojulikana kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Ajali ya basi yaua wanne, wengine 40 wajeruhiwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GxEmomufk0E/Xpa1__UdKbI/AAAAAAAEGuc/NI5mxhcw8TEKXBekpL3bOAFy1rfSCtgCgCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bajali.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: WATU 18 WAFARIKI DUNIA NA WENGINE 15 WAJERUHIWA KWA AJALI WILAYANI MKURANGA.
Watu 18 wamefariki na wengine 15 kujeruhiwa baada ya magari mawili kugongana katika kijiji cha Kilimahewa Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji, Onesmo Lyanga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Kamanda Lyanga amesema kuwa ajali hiyo imetokea leo Jumatano Aprili 15, 2020 na kwamba imehusisha lori na gari la abiria aina ya Toyota Coaster.“Ni Kweli tuko kwenye eneo la tukio, ajali imetokea na imesababisha vifo vya watu 18 na majeruhi 15,” amebainisha...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
WATU 10 WAFARIKI NA WENGINE ZAIDI YA 40 WAJERUHIWA KWENYE AJALI YA BASI LA UNIQUE NA LORI MKOANI SHINYANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5bGr1KIgJi4/VTfR8zRXf0I/AAAAAAAHSmA/wHU8MN9jFSE/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CG4w-P4hD20/VTfR-N6C-3I/AAAAAAAHSmM/o4Z-1NVjGTQ/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
CHANZO: MICHUZI BLOG
9 years ago
StarTV31 Dec
 Watu watatu wafariki, wanne hawajulikani walipo Ajali Ya Mtumbwi Mwanza
Watu watatu wamefariki baada ya mtumbwi waliokuwa wakitumia kama kivuko cha kusafirisha abiria kutoka ufukweni kwenda kwenye boti ijulikanayo kama Mtu Ni Watu kuzama kwenye eneo la Mihama jijini Mwanza.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa tatu usiku wa kuamkia leo, ambapo kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Kamishna msaidizi mwandamizi Justus Kamugisha amethibisha kutokea kwa ajali hiyo
Takribani miaka ishirni tangu kuzama kwa meli ya MV Bukoba kilometa chache tu kabla ya kutia nanga jijini...
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Ajali yaua padri na wengine wanne
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
WATU watano, akiwemo Padri wa Kanisa Katoliki, Paulo Mwanyalila, wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti zilizotokea mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo iliyomwua Padri Mwanyanyila, gari lenye namba za usajili T241 BKZ aina ya Toyota Coaster, liligongana na gari liingine ambalo haijafahamika aina wala namba zake za usajili.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema ajali hiyo ilitokea juzi saa moja jioni katika barabara ya Mbeya- Tukuyu, eneo la...
10 years ago
Vijimambo07 Apr
Radi yapiga kanisa, yaua watu watano walikuwa katika ibada ya Pasaka.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph%20konyo-7April2015.jpg)
Watu watano wamefariki dunia papo hapo katika kijiji cha Shilabela, kata ya Bwanga, wilayani Chato, mkoa wa Geita, baada ya kupigwa na radi wakati wakiendelea na ibada ya Sikukuu ya Pasaka.
Tukio hilo lilitokea juzi jioni kwenye Kanisa la Assemblies of God Tanzania (AGT) na kujeruhi watu wengine 18 wakati wakiwa kwenye maadhimisho ya sikukuu ya kufufuka kwa Yesu Kristo, Pasaka. Kati ya majeruhi hao, wanne wamelazwa katika Zahanati ya Bwanga,...
10 years ago
Mwananchi05 Mar
Mvua ya mawe yaua watu 42 Kahama, 91 wajeruhiwa
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WOXkr8SImEo/VnqE_ngLugI/AAAAAAAIOMk/4MwG_A615hA/s72-c/AicFpTwl2eOeiicBz4KICCE42nM_Y4oNR0u4oz-pxHat.jpg)
WATU SABA WAFARIKI DUNIA KWA KUUNGUA NA MOTO NA WENGINE KUMI WAJERUHIWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-WOXkr8SImEo/VnqE_ngLugI/AAAAAAAIOMk/4MwG_A615hA/s640/AicFpTwl2eOeiicBz4KICCE42nM_Y4oNR0u4oz-pxHat.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hLzmHj8xxJg/VnqEEwhyDLI/AAAAAAAIOMI/IAHqP9pyAFM/s640/AkRplWixylucpvJPSxtr-Bit7r3tXMZj3U5AkeLLxUvO.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DUm1dRvfyVc/VnqEEYpVbmI/AAAAAAAIOL8/2NqRHz1qW2U/s640/AhyQZ2otXYtJMzFFW0sUUTAOHe7bS9iCHWJLAIiO6MeY.jpg)
Na Editha Karlo wa blog wa jamii,Kigoma
WATU saba wamefariki duniani na wengine kumi wamejeruhiwa katika ajali...
10 years ago
Habarileo12 Oct
Mabasi yaua watu wanne Mpanda
WATU wanne wamekufa na wengine 14 wamejeruhiwa na kulazwa katika hospitali ya Wilaya ya Mpanda baada ya basi la Kampuni ya AN kugongana uso kwa uso na gari lingine.