Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


 Watu watatu wafariki, wanne hawajulikani walipo Ajali Ya Mtumbwi Mwanza

 

Watu watatu wamefariki baada ya mtumbwi waliokuwa wakitumia kama kivuko cha kusafirisha abiria kutoka ufukweni kwenda kwenye boti ijulikanayo kama Mtu Ni Watu  kuzama kwenye eneo la Mihama jijini Mwanza.

Ajali hiyo imetokea majira ya saa tatu usiku wa kuamkia leo, ambapo kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Kamishna msaidizi mwandamizi Justus Kamugisha amethibisha kutokea kwa ajali hiyo

 Takribani miaka ishirni tangu kuzama kwa meli ya MV Bukoba  kilometa chache tu kabla ya kutia nanga jijini...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

wawili wapoteza maisha, saba wajeruhiwa na wanne hawajulikani walipo baada ya ajali ya treni ya mizigo gulwe, dodoma

Mnamo tarehe 27.03.2014 majira ya saa 02:10 usiku huko Gulwe katika Wilaya ya Mpwapwa kulitokea ajali ya treni ya mizigo iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Kigoma baada ya kusombwa na mkondo wa maji ya mvua zinazoendelea kunyesha. Kutokana na wingi na nguvu ya maji hayo ilifanya kichwa cha treni hiyo kutumbukia kwenye mto Mimo.
                VIFO: Ajali hiyo hadi hivi sasa imesababisha vifo vya watu wawili ambao wamefahamika kwa majina yafuatayo:- 1.  Felix s/o Kalonga 2.  Ismail @...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI

Watu wanne wamefariki dunia na 21 kujeruhiwa baada ya basi aina ya Isuzu  kugonga treni ya abiria iendayo bara katika  kilomita 276/0 kati ya Stesheni  za Kimamba na Kilosa mkoani Morogoro saa 11:25 asubuhi leo Julai 01, 2015. Wahanga walipakiwa katika  treni hiyo na kukimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa.Basi lilohusika ni lenye namba za usajili T837CTM Isuzu Coaster linalomilikiwa na Feisal  A. Khuwel wa Kilosa.Taarifa kutoka eneo la tukio  limefafanua kuwa waliofariki ni wanaume...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali ya mtumbwi yaua watatu

WATU watatu wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Kitongoji cha Ngw’ale kuelekea Mtwara Mjini kuzama baada ya kukumbwa na upepo mkali. Kamanda wa Polisi...

 

11 years ago

Michuzi

NEW ALERT: AJALI MWANZA WATU ZAIDI YA 20 WAFARIKI PAPO HAPO

 Zaidi ya watu 20 wamefariki dunia papo hapo na wengine wengi kujeruhiwa, baada ya basi la LUWULE walilokuwa wakisafiria kutoka Musoma kwenda Mwanza kuacha njia, kugonga nyumba na kupinduka katika kijiji cha Itwimila wilaya ya Busega. Chanzo East Africa Television (EATV)

 

5 years ago

Michuzi

RADI YAUA WATU WANNE, WENGINE 27 WAJERUHIWA WAKIWA KWENYE MTUMBWI WILAYANI UKEREWE


Na Mwandishi Wetu, Mwanza

WATU wanne wameripotiwa kufariki Dunia na wengine 27 kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa kwenye mtumbwi waliokua wakisafiria katika Ziwa Victoria wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.

Akizungunza leo kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Muliro Jumanne amesema lilitokea  Juni 23 mwaka huu ,saa mbili asubuhi katika Kitongoji cha Busele kilichopo Kata ya Bubiko wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.

Kamanda Muliro amesema mtumbwi huo wa abiria unaojulikana kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Watu wanne wafariki dunia katika matukio tofauti

DSC0017911

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATU Wanne mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti,likiwemo la wanandoa wawili kuuawa na kisha nyumba yao kuchomwa moto na wao kuteketea pamoja na mali zao.

Wanandoa hao ni Ramadhani Lyanga (80) na mke wake Aziza Ally (60) wakazi wa kitongoji cha Kizega kijiji cha New Kiomboi tarafa ya Kisiriri wilaya ya Iramba.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela amesema...

 

11 years ago

Mwananchi

Watu watatu wafariki dunia matukio tofauti Iringa

Iringa. Watu watatu wamefariki dunia katika matukio tofauti, akiwamo mjamzito anayedaiwa kufariki baada ya kupigwa na mumewe.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu wanne wafariki dunia katika matukio tofauti Dar

Watu wanne wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwemo la watoto wawili wa familia moja, walioteketea kwa moto wakiwa wamelala chumbani.

 

11 years ago

Dewji Blog

Watu wanne wafariki dunia katika matukio tofauti Singida

DSC00179111

Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATU wanne mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti,likiwemo la mwanafunzi wa kidato cha kwanza sekondari ya Eldersgate Manyara kujinyonga kwa kutumia kamba ya manila.

Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela,alisema kuwa mwanafunzi huyo Uswile Lazaro (15) mkazi wa kijiji cha Ulemo tarafa ya Kinampanda wilaya ya Iramba,amejinyinga juzi jioni huko katika kijiji cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani