Ajali ya mtumbwi yaua watatu
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Kitongoji cha Ngw’ale kuelekea Mtwara Mjini kuzama baada ya kukumbwa na upepo mkali. Kamanda wa Polisi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 May
Ajali ya mtumbwi yaua mmoja Kaskazini Pemba
9 years ago
StarTV31 Dec
 Watu watatu wafariki, wanne hawajulikani walipo Ajali Ya Mtumbwi Mwanza
Watu watatu wamefariki baada ya mtumbwi waliokuwa wakitumia kama kivuko cha kusafirisha abiria kutoka ufukweni kwenda kwenye boti ijulikanayo kama Mtu Ni Watu kuzama kwenye eneo la Mihama jijini Mwanza.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa tatu usiku wa kuamkia leo, ambapo kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Kamishna msaidizi mwandamizi Justus Kamugisha amethibisha kutokea kwa ajali hiyo
Takribani miaka ishirni tangu kuzama kwa meli ya MV Bukoba kilometa chache tu kabla ya kutia nanga jijini...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Ajali yaua watatu Singida
WATU watatu akiwemo Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Ngimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida, wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya gari aina ya Noah waliyokuwa...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Ajali yaua watatu, 24 wajeruhiwa
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Ajali yaua watu watatu, yajeruhi 51
Victor Bariety na Emanuel Ibrahim, Geita
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 51 kujeruhiwa mkoani Geita, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasua gurudumu kisha kupinduka.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo alisema watu walifaki dunia katika ajali hiyo majina yao hajatambuliwa kutokana na miili yao kuharibika vibaya.
Alisema ajali hiyo, iliyotokea saa 3;30 asubuhi katika eneo la Nyantorotoro, ilihusisha basi la Sheraton lenye namba...
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ajali yaua watatu, nyingine yajeruhi 21
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91sldqMElwhZZaGatqKQtVrNA5JCJIXdPs6Wy2wGTnCe78qc8qU1HE8sq8ryegPHIcUUouTdAk6NjjeckYAD-QjZlM/IMG20141212WA0008.jpg?width=650)
AJALI YAUA WATATU BUNJU B, DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUkqC2tYEL5AWwhWzStDf9ZOXdla92VnfQ2PuOywk395LVu4rHZJEivWhIzBOCgCGZHGcTUZaQYgxKPOBCkgkWz4/AJALI5.jpg)
AJALI YA GARI YAUA WATATU KOROGWE
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Ajali ya malori yaua watu wawili, kujeruhi wengine watatu Bagamoyo