Ajali yaua watatu, 24 wajeruhiwa
Watu watatu wamefariki dunia na wengine 24 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Songea kwenda Mbeya kumgonga mwendesha baiskeli na kupinduka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Ajali yaua 10 Mbeya, wanane wajeruhiwa
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Mwenge wapata ajali, polisi watatu wajeruhiwa
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Ajali ya basi yaua wanne, wengine 40 wajeruhiwa
11 years ago
CloudsFM05 Jun
MWENGE WA UHURU WAPATA AJALI, POLISI WATATU WAJERUHIWA
Askari polisi watatu kati ya watano, wameumia vibaya baada ya gari walilokuwa wakisindikizia Mwenge wa Uhuru kupata ajali mkoani Singida huku waandishi wa habari na wapigapicha wakinyang’anywa vitendea kazi na kiongozi wa Mbio za Mwenge, Rachel Steven.
Kitendo hicho kilielezwa kuwa ni kuwazuia waandishi wa habari kutuma taarifa za ajali hiyo kwenye vyombo vyao vya habari. Mzozo mkali uliibuka kwa waandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), kituo cha Televisheni cha ITV na...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Ajali ya mtumbwi yaua watatu
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Kitongoji cha Ngw’ale kuelekea Mtwara Mjini kuzama baada ya kukumbwa na upepo mkali. Kamanda wa Polisi...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Ajali yaua watatu Singida
WATU watatu akiwemo Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Ngimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida, wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya gari aina ya Noah waliyokuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUkqC2tYEL5AWwhWzStDf9ZOXdla92VnfQ2PuOywk395LVu4rHZJEivWhIzBOCgCGZHGcTUZaQYgxKPOBCkgkWz4/AJALI5.jpg)
AJALI YA GARI YAUA WATATU KOROGWE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91sldqMElwhZZaGatqKQtVrNA5JCJIXdPs6Wy2wGTnCe78qc8qU1HE8sq8ryegPHIcUUouTdAk6NjjeckYAD-QjZlM/IMG20141212WA0008.jpg?width=650)
AJALI YAUA WATATU BUNJU B, DAR
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Ajali yaua watu watatu, yajeruhi 51
Victor Bariety na Emanuel Ibrahim, Geita
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 51 kujeruhiwa mkoani Geita, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasua gurudumu kisha kupinduka.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo alisema watu walifaki dunia katika ajali hiyo majina yao hajatambuliwa kutokana na miili yao kuharibika vibaya.
Alisema ajali hiyo, iliyotokea saa 3;30 asubuhi katika eneo la Nyantorotoro, ilihusisha basi la Sheraton lenye namba...