Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali yaua watatu, 24 wajeruhiwa

Watu watatu wamefariki dunia na wengine 24 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Songea kwenda Mbeya kumgonga mwendesha baiskeli na kupinduka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ajali yaua 10 Mbeya, wanane wajeruhiwa

>Vilio na simanzi vimetawala katika mji mdogo wa Mbalizi Wilaya ya Mbeya vijijini baada ya Watu 10 kufa papo hapo akiwamo mama na mtoto wake na wengine wanane kujeruhiwa baada ya Toyota Hiace waliyokuwa wakisafiria kugongana na lori katika eneo liloko karibu na kituo cha mafuta.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenge wapata ajali, polisi watatu wajeruhiwa

Askari polisi watatu kati ya watano, wameumia vibaya baada ya gari walilokuwa wakisindikizia Mwenge wa Uhuru kupata ajali mkoani Singida huku waandishi wa habari na wapigapicha wakinyang’anywa vitendea kazi na kiongozi wa Mbio za Mwenge, Rachel Steven.

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali ya basi yaua wanne, wengine 40 wajeruhiwa

Basi la Wibonela ambalo hufanya safari zake kati ya Kahama na Dar es salaam limepinduka jana asubuhi na kuua watu wanne, akiwamo kichanga wa miezi mitatu, na kujeruhi wengine 40.

 

11 years ago

CloudsFM

MWENGE WA UHURU WAPATA AJALI, POLISI WATATU WAJERUHIWA

Askari polisi watatu kati ya watano, wameumia vibaya baada ya gari walilokuwa wakisindikizia Mwenge wa Uhuru kupata ajali mkoani Singida huku waandishi wa habari na wapigapicha wakinyang’anywa vitendea kazi na kiongozi wa Mbio za Mwenge, Rachel Steven.
Kitendo hicho kilielezwa kuwa ni kuwazuia waandishi wa habari kutuma taarifa za ajali hiyo kwenye vyombo vyao vya habari. Mzozo mkali uliibuka kwa waandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), kituo cha Televisheni cha ITV na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali ya mtumbwi yaua watatu

WATU watatu wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Kitongoji cha Ngw’ale kuelekea Mtwara Mjini kuzama baada ya kukumbwa na upepo mkali. Kamanda wa Polisi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali yaua watatu Singida

WATU watatu akiwemo Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Ngimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida, wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya gari aina ya Noah waliyokuwa...

 

10 years ago

GPL

AJALI YA GARI YAUA WATATU KOROGWE

AJALI hii mbaya ilitokea juzi (Jumapili) katika Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga ambapo watu watatu wanadaiwa kupoteza maisha. Dereva wa gari hili lililopata ajali amelazwa katika Hospitali ya KCMC, Moshi akiendelea na matibabu. (PICHA ZOTE NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715779, KAMA UNA PICHA AU HABARI TUTUMIE KUPITIA NAMBA…

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA WATATU BUNJU B, DAR

Gari aina ya Toyota VX likiwaka moto baada ya kuchomwa na wananchi mchana leo Bunju B jijini Dar kwa kusababisha ajali na kuuwa madereva watatu wa bodaboda. Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya gari aina ya Toyota VX imeua madereva watatu wa bodaboda mchana leo.…

 

9 years ago

Mtanzania

Ajali yaua watu watatu, yajeruhi 51

kamanda_geitaVictor Bariety na Emanuel Ibrahim, Geita

WATU watatu wamefariki dunia na wengine 51 kujeruhiwa mkoani Geita, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasua gurudumu kisha kupinduka.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo alisema watu walifaki dunia katika  ajali hiyo majina yao hajatambuliwa kutokana na miili yao kuharibika vibaya.

Alisema ajali hiyo, iliyotokea saa 3;30 asubuhi katika eneo la Nyantorotoro, ilihusisha basi la Sheraton lenye namba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani