Mwenge wapata ajali, polisi watatu wajeruhiwa
Askari polisi watatu kati ya watano, wameumia vibaya baada ya gari walilokuwa wakisindikizia Mwenge wa Uhuru kupata ajali mkoani Singida huku waandishi wa habari na wapigapicha wakinyang’anywa vitendea kazi na kiongozi wa Mbio za Mwenge, Rachel Steven.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM05 Jun
MWENGE WA UHURU WAPATA AJALI, POLISI WATATU WAJERUHIWA
Askari polisi watatu kati ya watano, wameumia vibaya baada ya gari walilokuwa wakisindikizia Mwenge wa Uhuru kupata ajali mkoani Singida huku waandishi wa habari na wapigapicha wakinyang’anywa vitendea kazi na kiongozi wa Mbio za Mwenge, Rachel Steven.
Kitendo hicho kilielezwa kuwa ni kuwazuia waandishi wa habari kutuma taarifa za ajali hiyo kwenye vyombo vyao vya habari. Mzozo mkali uliibuka kwa waandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), kituo cha Televisheni cha ITV na...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Ajali yaua watatu, 24 wajeruhiwa
10 years ago
Vijimambo30 Dec
Watatu wafariki, 11 wajeruhiwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Godfrey-30Dec2014.jpg)
Katika tukio la kwanza lililohusisha ajali ya gari dogo aina ya Toyota Noah likitokea Tanga kwenda Moshi Mjini, liliacha njia na kupinduka baada ya dereva wake, Ally Kasim (48) kushindwa kulimudu kutokana na mwendo kasi.
Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alisema ...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Watatu wajeruhiwa Kenya
WATU watatu wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu katika mji wa Garisa nchini humo. Hayo yalithibitishwa Jumamosi na mkuu wa polisi wa eneo hilo, Charles Kinyua kuwa kati ya vijana watatu...
9 years ago
StarTV15 Nov
Askari mmoja afariki, watatu wajeruhiwa
Askari mmoja wa Jeshi la Polisi mkoani Singida amekufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya gari ndogo ya jeshi hilo waliyokuwa wakisafiria kwenda doria kuacha njia na kupinduka.
Ajali hiyo imetokea jana Ijumaa majira ya saa tatu usiku wakati askari hao wa kituo kidogo cha Nduguti Wilaya ya Mkalama wakiwa njiani kwenda eneo la Iguguno barabara kuu ya Singida-Mwanza kufanya doria.
Akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida Kamishina...
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Watatu wajeruhiwa ajalini mkoani Arusha
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vLCoyq7-Qpo/XvSbcrbtcZI/AAAAAAALvYg/S_WP5175-V46U3DQhgxUKrSkSR5IET9TgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200625-WA0026.jpg)
WATU WATATU WAPOTEZA MAISHA KARATU, 25 WAJERUHIWA
Na.Vero Ignatus
Wito umetolewa kwa medereva kuwa makini na kuchukua tahadhari ya usalama barabarani pindi wanapotumia vyombo vya moto ili kuepusha madhara makubwa ambayo yanaweza kutokea,kwani jeshi la polisi litaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote ambao wataenda kinyume na taratibu za usalama barabarani
Akitoa taarifa ya ajali kwa waandishi wa habari Kaimu kamanda mkoa wa Arusha ACP.Ramadhani Kingai alisema ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa 16:30hrs ,huko maeneo ya...
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Askari watatu wajeruhiwa na mlipuko wa bomu Songea
Askari Polisi wakiwa eneo la tukio ikiwa ni kuimarisha ulinzi.(Picha Zote na demasho.com)
————-
ASKARI watatu wa jeshi la Polisi wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma (Homso) iliyopo mjini songea Mkoani humo wakiwa wanapatiwa matibabu ya majeraha ambayo waliyapata baada ya kushambuliwa kwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni Bomu la kurushwa kwa mkono.
Tukio hilo limetokea September 16/ 2014 majira ya saa moja na nusu jioni katika kata ya Msufini karibu na daraja la Matarawe, wilayani...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Watatu wauawa kwa risasi, sita wajeruhiwa