Askari watatu wajeruhiwa na mlipuko wa bomu Songea
Askari Polisi wakiwa eneo la tukio ikiwa ni kuimarisha ulinzi.(Picha Zote na demasho.com)
————-
ASKARI watatu wa jeshi la Polisi wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma (Homso) iliyopo mjini songea Mkoani humo wakiwa wanapatiwa matibabu ya majeraha ambayo waliyapata baada ya kushambuliwa kwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni Bomu la kurushwa kwa mkono.
Tukio hilo limetokea September 16/ 2014 majira ya saa moja na nusu jioni katika kata ya Msufini karibu na daraja la Matarawe, wilayani...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLASKARI WATATU WAJERUHIWA KWA MLIPUKO WA BOMU SONGEA
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: ASKARI WA TATU WAJERUHIWA NA MLIPUKO WA BOMU SONGEA
(Picha Zote na demasho.com)-------------
ASKARI watatu wa jeshi la Polisi wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma (Homso) iliyopo mjini songea Mkoani humo wakiwa wanapatiwa matibabu ya majeraha ambayo waliyapata baada ya kushambuliwa kwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni Bomu la kurushwa kwa mkono.
Tukio hilo limetokea September 16, 2014 majira ya saa moja na nusu jioni katika kata ya Msufini karibu na daraja la Matarawe,...
10 years ago
MichuziJeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjM6uYhvG1OJd*3IaROWHnpKaNZ5y0pFepqhKbIw2PA-Sq7*UMbeRSfUtVUZ-4AMNfxSqXzyLFiuN9--1Wi39Mpr/2.jpg)
MLIPUKO WA BOMU WAUA WATATU KABUL
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Sep
Askari polisi watupiwa bomu Songea
NA MWANDISHI WETU
ASKARI watatu wa polisi mkoani Ruvuma wamejeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Mkoa huo mjini Songea, baada ya kushambuliwa na kitu kinachosadikiwa kuwa bomu la kurushwa kwa mkono.
Tukio hilo lilitokea juzi, jioni katika kata ya Msufini, karibu na daraja la Matarawe, wilayani Songea, mkoani Ruvuma, ambapo watu watatu wasiofahamika walitupa kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu la kurushwa kwa mkono.
Askari hao walikumbwa na mkasa huo wakati wakiwa kwenye doria katika eneo...
9 years ago
StarTV15 Nov
Askari mmoja afariki, watatu wajeruhiwa
Askari mmoja wa Jeshi la Polisi mkoani Singida amekufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya gari ndogo ya jeshi hilo waliyokuwa wakisafiria kwenda doria kuacha njia na kupinduka.
Ajali hiyo imetokea jana Ijumaa majira ya saa tatu usiku wakati askari hao wa kituo kidogo cha Nduguti Wilaya ya Mkalama wakiwa njiani kwenda eneo la Iguguno barabara kuu ya Singida-Mwanza kufanya doria.
Akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida Kamishina...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Bomu larushwa ndani ya basi Kigoma, watatu wauawa, sita wajeruhiwa
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
8 wajeruhiwa katika mlipuko Arusha,TZ