Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MLIPUKO WA BOMU WAUA WATATU KABUL

Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo akitolewa eneo la tukio. Baadhi ya magari yaliyoteketea kutokana na shambulio hilo. Mama huyu akitolewa eneo la mlipuko na kupelekwa sehemu salama. WATU watatu wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine takribani 20 wakijeruhiwa baada ya mlipuko kutokea kwenye uwanja wa ndege wa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MLIPUKO WA BOMO LA KUJITOA MHANGA JIJINI KABUL WAUWA WATU WATATU NA KUJERUHI 20

Watu wapatao watatu wamekufa kufuatia shambulio la bomu la kujitoa muhanga karibu na eneo la kuingilia uwanja wa ndege wa Kimataifa Jijini Kabul nchini Afghanistan.Shambulio hilo limefanywa karibu na eneo linalotumiwa kuegesha magari ya wanajeshi, na pia lililenga gari la mafunzo ya polisi la vikosi vya Ulaya.
Mtu mmoja aliyekuwa ndani ya gari alikufa pamoja na watoto wawili wa kike wa Afghan, ambapo pia watu wapatao 20 wamejeruhiwa. Kundi la Taliban limekiri kufanya shambulio hio.

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA SOMALIA

WATU kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha katika mlipuko mkubwa wa bomu la kujitoa muhanga katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja wa ndege. Mlipuko huo umesababiswa na mtu aliyejitoa muhanga kwa kujilipua akiwa ndani ya gari lililokuja na kuegesha katikati ya msafara wa magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa na magari yaliyokuwa yakiusindikiza msafara huo. Kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab mara kwa...

 

11 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA 21 ABUJA NIGERIA

Mulipuko wa bomu umetokea katika duka kubwa la manunuzi la Emab Plaza lililo karibu na Banex Plaza, jijini Abuja, Nigeria.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu waua sita Somalia

Watu wanaokadiriwa kufikia sita wamekufa kutokana na mlipuko mkubwa wa bomu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA 27 NA KUJERUHI 100 UTURUKI

Mmoja wa majeruhi katika mlipuko huo. Hali ilivyokuwa baada ya mlipuko kutokea.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Askari watatu wajeruhiwa na mlipuko wa bomu Songea

DSC00244

Askari Polisi wakiwa eneo la tukio ikiwa ni kuimarisha ulinzi.(Picha Zote na demasho.com)

————-

ASKARI watatu  wa jeshi la Polisi wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa  wa Ruvuma  (Homso) iliyopo mjini songea Mkoani humo  wakiwa wanapatiwa matibabu ya majeraha ambayo waliyapata baada ya kushambuliwa kwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni Bomu la kurushwa kwa mkono.

Tukio hilo limetokea  September 16/ 2014 majira ya saa moja na nusu jioni katika kata ya Msufini karibu na daraja la Matarawe, wilayani...

 

10 years ago

GPL

ASKARI WATATU WAJERUHIWA KWA MLIPUKO WA BOMU SONGEA

Askari Polisi wakiwa eneo la tukio ikiwa ni kuimarisha ulinzi Eneo la tukio  likiwa limezungushiwa alama na Jeshi la Polisi.…

 

10 years ago

BBCSwahili

2 wauawa katika shambulizi la bomu Kabul

Watu wawili wameripotiwa kufa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya mlipuko kwenye mji mkuu wa Afganistan Kabul.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bomu kwenye mkahawa wa Kabul lauwa wengi

Shambulio la kujitolea mhanga katika mji mkuu wa Afghhanistan, Kabul, umeuwa wageni wengi wa mashirika ya kimataifa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani