MLIPUKO WA BOMU WAUA WATATU KABUL
![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjM6uYhvG1OJd*3IaROWHnpKaNZ5y0pFepqhKbIw2PA-Sq7*UMbeRSfUtVUZ-4AMNfxSqXzyLFiuN9--1Wi39Mpr/2.jpg)
Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo akitolewa eneo la tukio. Baadhi ya magari yaliyoteketea kutokana na shambulio hilo. Mama huyu akitolewa eneo la mlipuko na kupelekwa sehemu salama. WATU watatu wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine takribani 20 wakijeruhiwa baada ya mlipuko kutokea kwenye uwanja wa ndege wa…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-w9gSqciqehQ/VVh-kUzpLpI/AAAAAAAA9e4/QB6hksMXsAc/s72-c/Ka.jpg)
MLIPUKO WA BOMO LA KUJITOA MHANGA JIJINI KABUL WAUWA WATU WATATU NA KUJERUHI 20
![](http://4.bp.blogspot.com/-w9gSqciqehQ/VVh-kUzpLpI/AAAAAAAA9e4/QB6hksMXsAc/s640/Ka.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2gVC9staojs/VVh-lbFSLQI/AAAAAAAA9e8/mPSI4IBYKmU/s640/Ka1.jpg)
Mtu mmoja aliyekuwa ndani ya gari alikufa pamoja na watoto wawili wa kike wa Afghan, ambapo pia watu wapatao 20 wamejeruhiwa. Kundi la Taliban limekiri kufanya shambulio hio.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAHm7-1ddMTKEnSslVCnnB81WolM4ZF9dtLb6iFMk4IP7d*8Np7g0lpq8cW5p48A30Lpm*WyJcrIRrPpRLCTTMvc/mlipuko.jpg)
MLIPUKO WA BOMU WAUA SOMALIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxUWhj8CVoZzNhm40te9mKKkUxbvbkhCP3rspnbKrOXCj4k67jLctKU0AIhOeiQF-amNEBUD730LcbZtxmomBmn8p9djDoLr/abuja13.jpg?width=650)
MLIPUKO WA BOMU WAUA 21 ABUJA NIGERIA
11 years ago
BBCSwahili03 May
Mlipuko wa bomu waua sita Somalia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3dvV13HeQ5bb0F9tg8YG1O*vpa4br90gseMnhiy8pXis1*5H92nxxPv-0T9sxmTNrE*swwNkql3QebPY4RWrlZi/3.jpg)
MLIPUKO WA BOMU WAUA 27 NA KUJERUHI 100 UTURUKI
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Askari watatu wajeruhiwa na mlipuko wa bomu Songea
Askari Polisi wakiwa eneo la tukio ikiwa ni kuimarisha ulinzi.(Picha Zote na demasho.com)
————-
ASKARI watatu wa jeshi la Polisi wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma (Homso) iliyopo mjini songea Mkoani humo wakiwa wanapatiwa matibabu ya majeraha ambayo waliyapata baada ya kushambuliwa kwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni Bomu la kurushwa kwa mkono.
Tukio hilo limetokea September 16/ 2014 majira ya saa moja na nusu jioni katika kata ya Msufini karibu na daraja la Matarawe, wilayani...
10 years ago
GPLASKARI WATATU WAJERUHIWA KWA MLIPUKO WA BOMU SONGEA
10 years ago
BBCSwahili17 May
2 wauawa katika shambulizi la bomu Kabul
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Bomu kwenye mkahawa wa Kabul lauwa wengi