Mlipuko wa bomu waua sita Somalia
Watu wanaokadiriwa kufikia sita wamekufa kutokana na mlipuko mkubwa wa bomu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMLIPUKO WA BOMU WAUA SOMALIA
WATU kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha katika mlipuko mkubwa wa bomu la kujitoa muhanga katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja wa ndege. Mlipuko huo umesababiswa na mtu aliyejitoa muhanga kwa kujilipua akiwa ndani ya gari lililokuja na kuegesha katikati ya msafara wa magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa na magari yaliyokuwa yakiusindikiza msafara huo. Kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab mara kwa...
10 years ago
GPLMLIPUKO WA BOMU WAUA WATATU KABUL
Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo akitolewa eneo la tukio. Baadhi ya magari yaliyoteketea kutokana na shambulio hilo. Mama huyu akitolewa eneo la mlipuko na kupelekwa sehemu salama. WATU watatu wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine takribani 20 wakijeruhiwa baada ya mlipuko kutokea kwenye uwanja wa ndege wa…
11 years ago
GPLMLIPUKO WA BOMU WAUA 21 ABUJA NIGERIA
Mulipuko wa bomu umetokea katika duka kubwa la manunuzi la Emab Plaza lililo karibu na Banex Plaza, jijini Abuja, Nigeria.…
10 years ago
GPLMLIPUKO WA BOMU WAUA 27 NA KUJERUHI 100 UTURUKI
Mmoja wa majeruhi katika mlipuko huo. Hali ilivyokuwa baada ya mlipuko kutokea.…
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Mlipuko wa bomu wasababisha vifo-Somalia
Watu 6 wameuawa baada ya bomu kulipuka karibu na uwanja wa kimataifa a ndege mjini Mogadishu
5 years ago
CCM Blog25 May
WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA
Duru za habari nchini Somalia zimeripoti kujiri mripuko wa bomu Jumapili usiku katika mji wa Baidoa, kusini mwa nchi hiyo.Kwa mujibu wa ripoti, bomu hilo liliripuka wakati wa sherehe za Idul-Fitr katika mji huo. Aidha duru za habari zimearifu kwamba katika hujuma hiyo kwa akali watu watano wameuawa na wengine 20 wamejeruhiwa. Hadi sasa hakuna kundi lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawa inadhaniwa kwamba kundi la kigaidi la ash-Shabab ndilo lililotekeleza jinai hiyo. Kundi la...
10 years ago
GPLMLIPUKO WAUA 12 CHINA
Taswira kutoka eneo la Kiwanda cha Nanyang ulipotokea mlipuko. TAKRIBANI watu 12 wamefariki dunia huku 33 wakijeruhiwa katika mlipuko uliotokea jana katika kiwanda cha kutengeneza fataki jijini Liling katika Mkoa wa Hunan nchini China. Moshi ukiwa umetanda katika eneo la kiwanda hicho. Mlipuko huo ulitokea katika Kiwanda cha Nanyang ambapo mamlaka husika haikusema chanzo chake. Matukio ya kulipuka viwanda vya… ...
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Mlipuko waua 40, Nigeria
Watu 40 wameuawa katika milipuko miwili iliyotokea mjini Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.
9 years ago
BBCSwahili10 Oct
Mlipuko waua 30 Uturuki
Milipuko miwili imetokea kwenye mkutano wa hadhara kati kati mwa mji mkuu wa Uturuki na kuwaua karibu watu 30
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania