Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MLIPUKO WA BOMU WAUA 27 NA KUJERUHI 100 UTURUKI

Mmoja wa majeruhi katika mlipuko huo. Hali ilivyokuwa baada ya mlipuko kutokea.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua 21 na kujeruhi 50 Nigeria

Kumetokea shambulizi la bomu mbele ya soko lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Nigeria Abuja na kuwauwa zaidi ya watu 21.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua 30 Uturuki

Milipuko miwili imetokea kwenye mkutano wa hadhara kati kati mwa mji mkuu wa Uturuki na kuwaua karibu watu 30

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA SOMALIA

WATU kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha katika mlipuko mkubwa wa bomu la kujitoa muhanga katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja wa ndege. Mlipuko huo umesababiswa na mtu aliyejitoa muhanga kwa kujilipua akiwa ndani ya gari lililokuja na kuegesha katikati ya msafara wa magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa na magari yaliyokuwa yakiusindikiza msafara huo. Kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab mara kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua watu 27 Uturuki

Watu 27 wameuawa na 100 kujeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea muda mchache uliopita katika mji wa Uturuki wa Suruc.

 

11 years ago

GPL

MLIPUKO WAUA 200 UTURUKI

Mmoja wa majeruhi akitolewa eneo la tukio. MLIPUKO katika mgodi wa makaa ya mawe nchini Uturuki umesababisha vifo vya zaidi ya wachimbaji migodi 200 na kujeruhi wengine kadhaa. Mlipuko huo umetokea jana katika mji wa Soma mkoa wa Manisa. Inahofiwa kuwa wachimbaji mgodi wengine wengi bado wamefukiwa na kifusi chini ya mgodi. Wakati mlipuko huo ulipotokea, wafanyakazi 580 walikuwa ndani ya mgodi huo japo inaaminika… ...

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA WATATU KABUL

Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo akitolewa eneo la tukio. Baadhi ya magari yaliyoteketea kutokana na shambulio hilo. Mama huyu akitolewa eneo la mlipuko na kupelekwa sehemu salama. WATU watatu wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine takribani 20 wakijeruhiwa baada ya mlipuko kutokea kwenye uwanja wa ndege wa…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu waua sita Somalia

Watu wanaokadiriwa kufikia sita wamekufa kutokana na mlipuko mkubwa wa bomu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

 

11 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA 21 ABUJA NIGERIA

Mulipuko wa bomu umetokea katika duka kubwa la manunuzi la Emab Plaza lililo karibu na Banex Plaza, jijini Abuja, Nigeria.…

 

9 years ago

Mwananchi

Wafugaji waua na kujeruhi Morogoro

Mkulima mmoja auawa, mwingine ajeruhiwa wakiwemo askari  polisi wawili kwenye mapigano dhidi ya wafugaji wa kimang’ati kwenye kijiji cha Dihimba Turiani, mkoani Morogoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani