MLIPUKO WA BOMU WAUA 27 NA KUJERUHI 100 UTURUKI
![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3dvV13HeQ5bb0F9tg8YG1O*vpa4br90gseMnhiy8pXis1*5H92nxxPv-0T9sxmTNrE*swwNkql3QebPY4RWrlZi/3.jpg)
Mmoja wa majeruhi katika mlipuko huo. Hali ilivyokuwa baada ya mlipuko kutokea.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Mlipuko waua 21 na kujeruhi 50 Nigeria
Kumetokea shambulizi la bomu mbele ya soko lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Nigeria Abuja na kuwauwa zaidi ya watu 21.
9 years ago
BBCSwahili10 Oct
Mlipuko waua 30 Uturuki
Milipuko miwili imetokea kwenye mkutano wa hadhara kati kati mwa mji mkuu wa Uturuki na kuwaua karibu watu 30
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAHm7-1ddMTKEnSslVCnnB81WolM4ZF9dtLb6iFMk4IP7d*8Np7g0lpq8cW5p48A30Lpm*WyJcrIRrPpRLCTTMvc/mlipuko.jpg)
MLIPUKO WA BOMU WAUA SOMALIA
WATU kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha katika mlipuko mkubwa wa bomu la kujitoa muhanga katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja wa ndege. Mlipuko huo umesababiswa na mtu aliyejitoa muhanga kwa kujilipua akiwa ndani ya gari lililokuja na kuegesha katikati ya msafara wa magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa na magari yaliyokuwa yakiusindikiza msafara huo. Kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab mara kwa...
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Mlipuko waua watu 27 Uturuki
Watu 27 wameuawa na 100 kujeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea muda mchache uliopita katika mji wa Uturuki wa Suruc.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjPs1y5mofwHOXM6mcSIoOLpHSIrSFKj3SN-AK-jBCZjlngjzC*ddBnwGSY0Ie4htnzhweYwZV6P1zNMTJZhAhV/majeruhi.jpg?width=650)
MLIPUKO WAUA 200 UTURUKI
Mmoja wa majeruhi akitolewa eneo la tukio. MLIPUKO katika mgodi wa makaa ya mawe nchini Uturuki umesababisha vifo vya zaidi ya wachimbaji migodi 200 na kujeruhi wengine kadhaa. Mlipuko huo umetokea jana katika mji wa Soma mkoa wa Manisa. Inahofiwa kuwa wachimbaji mgodi wengine wengi bado wamefukiwa na kifusi chini ya mgodi. Wakati mlipuko huo ulipotokea, wafanyakazi 580 walikuwa ndani ya mgodi huo japo inaaminika… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjM6uYhvG1OJd*3IaROWHnpKaNZ5y0pFepqhKbIw2PA-Sq7*UMbeRSfUtVUZ-4AMNfxSqXzyLFiuN9--1Wi39Mpr/2.jpg)
MLIPUKO WA BOMU WAUA WATATU KABUL
Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo akitolewa eneo la tukio. Baadhi ya magari yaliyoteketea kutokana na shambulio hilo. Mama huyu akitolewa eneo la mlipuko na kupelekwa sehemu salama. WATU watatu wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine takribani 20 wakijeruhiwa baada ya mlipuko kutokea kwenye uwanja wa ndege wa…
11 years ago
BBCSwahili03 May
Mlipuko wa bomu waua sita Somalia
Watu wanaokadiriwa kufikia sita wamekufa kutokana na mlipuko mkubwa wa bomu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxUWhj8CVoZzNhm40te9mKKkUxbvbkhCP3rspnbKrOXCj4k67jLctKU0AIhOeiQF-amNEBUD730LcbZtxmomBmn8p9djDoLr/abuja13.jpg?width=650)
MLIPUKO WA BOMU WAUA 21 ABUJA NIGERIA
Mulipuko wa bomu umetokea katika duka kubwa la manunuzi la Emab Plaza lililo karibu na Banex Plaza, jijini Abuja, Nigeria.…
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Wafugaji waua na kujeruhi Morogoro
Mkulima mmoja auawa, mwingine ajeruhiwa wakiwemo askari polisi wawili kwenye mapigano dhidi ya wafugaji wa kimang’ati kwenye kijiji cha Dihimba Turiani, mkoani Morogoro.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania