Mlipuko waua 21 na kujeruhi 50 Nigeria
Kumetokea shambulizi la bomu mbele ya soko lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Nigeria Abuja na kuwauwa zaidi ya watu 21.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3dvV13HeQ5bb0F9tg8YG1O*vpa4br90gseMnhiy8pXis1*5H92nxxPv-0T9sxmTNrE*swwNkql3QebPY4RWrlZi/3.jpg)
MLIPUKO WA BOMU WAUA 27 NA KUJERUHI 100 UTURUKI
Mmoja wa majeruhi katika mlipuko huo. Hali ilivyokuwa baada ya mlipuko kutokea.…
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Mlipuko waua 40, Nigeria
Watu 40 wameuawa katika milipuko miwili iliyotokea mjini Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
Mlipuko waua watu 10 nchini Nigeria
Takriban watu 10 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea mjini Bauchi Kaskazini mwa nchi hiyo.
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Mlipuko waua watu watano Nigeria
Takriban watu watano wameripotiwa kuuawa katika mlipuko uliotokea sokoni Maiduguri kaskazini mwa Nigeria.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxUWhj8CVoZzNhm40te9mKKkUxbvbkhCP3rspnbKrOXCj4k67jLctKU0AIhOeiQF-amNEBUD730LcbZtxmomBmn8p9djDoLr/abuja13.jpg?width=650)
MLIPUKO WA BOMU WAUA 21 ABUJA NIGERIA
Mulipuko wa bomu umetokea katika duka kubwa la manunuzi la Emab Plaza lililo karibu na Banex Plaza, jijini Abuja, Nigeria.…
11 years ago
GPLMAJANGA NIGERIA: MLIPUKO MWINGINE WAUA 18, WENGINE 19 WAKIJERUHIWA
WATU 18 wamepoteza maisha huku zaidi ya 19 wakijeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea mji wa Mubi nchini Nigeria jana jioni. Polisi nchini humo wamethibitisha kutokea kwa mlipuko huo. Inadaiwa kuwa mlipuko huo ulilenga chumba kimoja cha burudani ambapo watu walikuwa wakitazama mechi ya soka kwenye televisheni. Mpaka sasa hakuna kundi lolote lililothibitisha kuhusika na shambulio hilo japo polisi wanadai yawezekana ni kundi la...
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Wafugaji waua na kujeruhi Morogoro
Mkulima mmoja auawa, mwingine ajeruhiwa wakiwemo askari polisi wawili kwenye mapigano dhidi ya wafugaji wa kimang’ati kwenye kijiji cha Dihimba Turiani, mkoani Morogoro.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhlIrBRUE8*MuBk4A0QnNF50no9cjH1HXl3ilHcd2yLVQZWvcEm8wHc7c*YkxVYWc*a-s81TTeLq5fXxPPodqpZ2/1.jpg)
TASWIRA ZA MLIPUKO ULIOUA WATU 6 NA KUJERUHI 74 NEW YORK
Magari ya uokoaji yakiwa eneo la tukio kutoa msaada. Wanausalama wakijaribu kuzuia moto baada ya mlipuko. Taswira kutoka neo la mlipuko…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MYuWPi64NJlgLurvgdKcvuxO*HyP4fn7bhq51cNtEC-QQ7u9qPQa8kbTHpaLBbhEg-zhjft9XgvQWH*Wy1j8wFA/mlipuko.jpg)
MLIPUKO WAUA 12 CHINA
Taswira kutoka eneo la Kiwanda cha Nanyang ulipotokea mlipuko. TAKRIBANI watu 12 wamefariki dunia huku 33 wakijeruhiwa katika mlipuko uliotokea jana katika kiwanda cha kutengeneza fataki jijini Liling katika Mkoa wa Hunan nchini China. Moshi ukiwa umetanda katika eneo la kiwanda hicho. Mlipuko huo ulitokea katika Kiwanda cha Nanyang ambapo mamlaka husika haikusema chanzo chake. Matukio ya kulipuka viwanda vya… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania