Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA ZA MLIPUKO ULIOUA WATU 6 NA KUJERUHI 74 NEW YORK

Magari ya uokoaji yakiwa eneo la tukio kutoa msaada. Wanausalama wakijaribu kuzuia moto baada ya mlipuko. Taswira kutoka neo la mlipuko…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MLIPUKO WA BOMO LA KUJITOA MHANGA JIJINI KABUL WAUWA WATU WATATU NA KUJERUHI 20

Watu wapatao watatu wamekufa kufuatia shambulio la bomu la kujitoa muhanga karibu na eneo la kuingilia uwanja wa ndege wa Kimataifa Jijini Kabul nchini Afghanistan.Shambulio hilo limefanywa karibu na eneo linalotumiwa kuegesha magari ya wanajeshi, na pia lililenga gari la mafunzo ya polisi la vikosi vya Ulaya.
Mtu mmoja aliyekuwa ndani ya gari alikufa pamoja na watoto wawili wa kike wa Afghan, ambapo pia watu wapatao 20 wamejeruhiwa. Kundi la Taliban limekiri kufanya shambulio hio.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua 21 na kujeruhi 50 Nigeria

Kumetokea shambulizi la bomu mbele ya soko lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Nigeria Abuja na kuwauwa zaidi ya watu 21.

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA 27 NA KUJERUHI 100 UTURUKI

Mmoja wa majeruhi katika mlipuko huo. Hali ilivyokuwa baada ya mlipuko kutokea.…

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA HOOD ILIYOUA MMOJA NA KUJERUHI 27 MKOANI MORO LEO

Wananchi wakilishuhudia basi la Hood baada ya kupinduka eneo la Melela-Mlandizi, Mvomero mkoani Morogoro. Gari hilo baada ya kupinduka.…

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MAJERUHI WA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA WAKIWA HOSPITALI YA SELIAN

Baadhi ya majeruhi wakiwa katika hospitali ya Rufaa ya Selian mkoani Arusha wakipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu kwenye mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine uliopo karibu na Mahakama Kuu jijini Arusha usiku wa kuamkia Julai 7, mwaka huu.
Katika mlipuko huo, watu nane walijeruhiwa vibaya huku mmoja akikatwa mguu baada ya kuumia sana. (PICHA NA… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Coaster yaua watu 11 na kujeruhi 25 Muheza

Watu 11 wamekufa papo hapo na wengine 25 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori aina ya Scania katika Kijiji cha Mkanyageni, wilayani Muheza, Mkoa wa Tanga.

 

9 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA EID AL ADHA NEW YORK


 Sherehe za Eid Al hajj New York Watanzania walikutana kusherehekea kwa chakula na zawadi za michezo ya watoto. Kama unavyo ona Shekhe akiongea mbele ya Watanzania hao walio kuwa wamejumuhika na familia zao kwenye ukumbi wa Madina Hall Brooklyn New York. Kwa taswira zaidi ya mambo alivyokuwa nenda kwenye soma zaidi.

 

10 years ago

Vijimambo

JIJI LA WATU WASIO LALA NEW YORK LIKIWA HALINA WATU BARABARANI WAKATI TUFANI ILIPOANZA KUANGUKA

Hapa ni Radio Cty New York jiji jeupe kila mtu ndani theluji iliyoambatana na upepo ilizima mbio mbio zote za sifa ya jiji la wasiyo lala mbona kila mtu alilala bila kupenda chezea mother nature wewe. 5 Avenue barabara nyeupe kama siyo New York vile Hali ilikuwa mbaya sana na kusababisha shughuli nyingi kusimama nje na ndani Jamaa akijaribu kupita huku na kule kuona kama atapata kakibarua ka kuzoa theluji vibarazani kwa watuKwa picha zaidi bofya soma zaidi


 

10 years ago

GPL

TASWIRA YA KIM KARDASHIAN JANA NEW YORK

Staa maarufu duniani, Kim Kardashian (34) akiwa katika mtoko wa chakula cha mchana jana akiingia kwenye Mgahawa wa Nate, New York akiwa amekavalia kigauni kinachoonyesha tumbo lake.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani