JIJI LA WATU WASIO LALA NEW YORK LIKIWA HALINA WATU BARABARANI WAKATI TUFANI ILIPOANZA KUANGUKA
Hapa ni Radio Cty New York jiji jeupe kila mtu ndani theluji iliyoambatana na upepo ilizima mbio mbio zote za sifa ya jiji la wasiyo lala mbona kila mtu alilala bila kupenda chezea mother nature wewe.
5 Avenue barabara nyeupe kama siyo New York vile
Hali ilikuwa mbaya sana na kusababisha shughuli nyingi kusimama nje na ndani
Jamaa akijaribu kupita huku na kule kuona kama atapata kakibarua ka kuzoa theluji vibarazani kwa watu
Kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Jul
ULINZI WAIMARISHWA NDANI YA JIJI LA WASILO LALA NEW YORK CITY WIKI ENDI HII YA 4TH JULY
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/16/2A3AA8D700000578-0-image-m-23_1436023683056.jpg)
Hapa ni polisi akimpatia maelekezo wapi kwa kupita msafiri katika kituo kikubwa cha mabasi cha Port Authority New York City.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/15/2A3A94A100000578-0-image-m-5_1436021790376.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/15/2A3AA90700000578-0-image-m-7_1436021954086.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/16/2A3AA87B00000578-0-Four_officers_prepare_for_their_patrol_in_Times_Square_on_July_4-m-9_1436022128078.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/17/video-undefined-2A3B322800000578-413_636x358.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/16/2A3A941100000578-0-image-m-12_1436022176604.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/07/04/16/2A3AA8FB00000578-0-image-m-13_1436022239640.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi
Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.
[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).
Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3) yakilia nje ya...
5 years ago
MichuziONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI
SERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa Serikali kuhusu ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na...
5 years ago
CCM BlogDK.KIJAJI: ONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Watu wasio na rangi ya ngozi, macho na nywele
MEI 4 mwaka huu ilikuwa ni Siku ya Albino Duniani. Ni siku tunayotumia kuendeleza kuhamasisha juu ya kuelewa zaidi kuwepo kwa wenzetu wasio na rangi ya ngozi, macho na nywele...
9 years ago
BBCSwahili04 Oct
Miili ya watu 8 yapatikana barabarani Burundi
10 years ago
GPLWATU WAZIMA WASAIDIAPO KUWAVUSHA WATOTO BARABARANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhlIrBRUE8*MuBk4A0QnNF50no9cjH1HXl3ilHcd2yLVQZWvcEm8wHc7c*YkxVYWc*a-s81TTeLq5fXxPPodqpZ2/1.jpg)
TASWIRA ZA MLIPUKO ULIOUA WATU 6 NA KUJERUHI 74 NEW YORK
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Ajali za barabarani zaongezeka Tabora, zauwa idadi kubwa ya watu!
Mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Ludovick Mwananzila akipata maelezo kutoka kwa Dr.Anna Kichambati wa Redcross Tabora wakati wa sherehe za wiki ya usalama barabarani mkoani Tabora.
Mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Mwananzila akisalimiana na Afisa mfawidhi wa Sumatra mkoa wa Tabora Bw.Joseph Michael wakati wa wiki ya usalama barabarani mkoa wa Tabora.
Mmoja kati ya maafisa wa polisi kikosi cha usalama barabarani Tabora mjini akimuonesha mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Ludovick Mwananzila kifaa maalumu...