Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miili ya watu 8 yapatikana barabarani Burundi

Mwandishi BBC mjini humo, anasema baadhi ya miili ilikuwa na majeraha ya risasi kichwani, na inaelekea walifungwa kwa kamba kabla ya kuuawa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:miili yapatikana ziwa Rweru

Burundi imeanzisha uchunguzi baada ya miili ya watu kupatikana ikielea katika ziwa la mpakani na Rwanda.

 

11 years ago

BBCSwahili

Miili ya watu 15 yapatikana CAR

Shirika la msalaba mwekundu Katika Jamhuri ya Afrika ya Kati linasema kuwa limefanikiwa kupata miili ya watu 15 ambao wameuawa tangu siku ya Jumamosi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Miili ya watu 34 yapatikana Bujumbura

Miili zaidi ya 34 imepatikana katika barabara za mji mkuu wa Burundi huku machafuko yakiendelea.

 

9 years ago

BBCSwahili

Miili ya wahamiaji yapatikana Austria

Maafisa wa Austria wamesema wamegundua miilli ya wahamiaji iliachwa ndani ya lori karibu na mpaka wa nchi hiyo na Hungary

 

11 years ago

BBCSwahili

Miili 5 yapatikana mgodini A. Kusini

Miili ya wachimba migodi haramu watano, imepatikana karibu na mgodi ambao ulikuwa hautumiki nchini Afrika Kusini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Miili 3 yapatikana Amazon Brazil

Viongozi wasema wamepata miili ya wafanyikazi watatu wa kampuni ya kusambaza umeme ya serikali waliotoweka mwezi Desemba

 

11 years ago

BBCSwahili

Miili 8 yapatikana mgodini A. Kusini

Waokozi nchini Afrika Kusini wanasema kuwa wamepata miili 8 ndani ya mgodi walimokuwa wamekwama wachimba migodi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Miili ya Waafrika 15 yapatikana Sinai Misri

Polisi wa Misri wanasema wamegundua miili ya wa-Afrika 15, ambao inaonekana walipigwa risasi na kuuawa

 

5 years ago

Michuzi

MAKABURI YA HALAIKI YENYE MAITI 6000 YAPATIKANA BURUNDI

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

ZAIDI ya miili 6000 imepatikana katika makaburi ya halaiki nchini Burundi huku maiti 6032 na maelfu ya risasi yamegundulika katika makaburi sita ya halaiki katika eneo la Karusi nchini humo.

Mamlaka nchini Burundi imetangaza kugundua zaidi ya miili 6000 katika makaburi sita ya watu waliozikwa kijumuiya.

Yaliyogunduliwa katika eneo la Karusi ni makubwa kutokea tangu Serikali itangaze kuanza kwa kampeni ya kugundua makaburi hayo mwezi Januari 2014.

Pierre Claver...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani