Miili ya watu 8 yapatikana barabarani Burundi
Mwandishi BBC mjini humo, anasema baadhi ya miili ilikuwa na majeraha ya risasi kichwani, na inaelekea walifungwa kwa kamba kabla ya kuuawa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Burundi:miili yapatikana ziwa Rweru
Burundi imeanzisha uchunguzi baada ya miili ya watu kupatikana ikielea katika ziwa la mpakani na Rwanda.
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Miili ya watu 15 yapatikana CAR
Shirika la msalaba mwekundu Katika Jamhuri ya Afrika ya Kati linasema kuwa limefanikiwa kupata miili ya watu 15 ambao wameuawa tangu siku ya Jumamosi.
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Miili ya watu 34 yapatikana Bujumbura
Miili zaidi ya 34 imepatikana katika barabara za mji mkuu wa Burundi huku machafuko yakiendelea.
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Miili ya wahamiaji yapatikana Austria
Maafisa wa Austria wamesema wamegundua miilli ya wahamiaji iliachwa ndani ya lori karibu na mpaka wa nchi hiyo na Hungary
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Miili 5 yapatikana mgodini A. Kusini
Miili ya wachimba migodi haramu watano, imepatikana karibu na mgodi ambao ulikuwa hautumiki nchini Afrika Kusini.
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Miili 3 yapatikana Amazon Brazil
Viongozi wasema wamepata miili ya wafanyikazi watatu wa kampuni ya kusambaza umeme ya serikali waliotoweka mwezi Desemba
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Miili 8 yapatikana mgodini A. Kusini
Waokozi nchini Afrika Kusini wanasema kuwa wamepata miili 8 ndani ya mgodi walimokuwa wamekwama wachimba migodi.
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Miili ya Waafrika 15 yapatikana Sinai Misri
Polisi wa Misri wanasema wamegundua miili ya wa-Afrika 15, ambao inaonekana walipigwa risasi na kuuawa
5 years ago
MichuziMAKABURI YA HALAIKI YENYE MAITI 6000 YAPATIKANA BURUNDI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
ZAIDI ya miili 6000 imepatikana katika makaburi ya halaiki nchini Burundi huku maiti 6032 na maelfu ya risasi yamegundulika katika makaburi sita ya halaiki katika eneo la Karusi nchini humo.
Mamlaka nchini Burundi imetangaza kugundua zaidi ya miili 6000 katika makaburi sita ya watu waliozikwa kijumuiya.
Yaliyogunduliwa katika eneo la Karusi ni makubwa kutokea tangu Serikali itangaze kuanza kwa kampeni ya kugundua makaburi hayo mwezi Januari 2014.
Pierre Claver...
ZAIDI ya miili 6000 imepatikana katika makaburi ya halaiki nchini Burundi huku maiti 6032 na maelfu ya risasi yamegundulika katika makaburi sita ya halaiki katika eneo la Karusi nchini humo.
Mamlaka nchini Burundi imetangaza kugundua zaidi ya miili 6000 katika makaburi sita ya watu waliozikwa kijumuiya.
Yaliyogunduliwa katika eneo la Karusi ni makubwa kutokea tangu Serikali itangaze kuanza kwa kampeni ya kugundua makaburi hayo mwezi Januari 2014.
Pierre Claver...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania