MAKABURI YA HALAIKI YENYE MAITI 6000 YAPATIKANA BURUNDI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
ZAIDI ya miili 6000 imepatikana katika makaburi ya halaiki nchini Burundi huku maiti 6032 na maelfu ya risasi yamegundulika katika makaburi sita ya halaiki katika eneo la Karusi nchini humo.
Mamlaka nchini Burundi imetangaza kugundua zaidi ya miili 6000 katika makaburi sita ya watu waliozikwa kijumuiya.
Yaliyogunduliwa katika eneo la Karusi ni makubwa kutokea tangu Serikali itangaze kuanza kwa kampeni ya kugundua makaburi hayo mwezi Januari 2014.
Pierre Claver...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Jeshi la Nigeria lilizika 300 katika makaburi ya halaiki
10 years ago
BBCSwahili25 May
Makaburi 140 yapatikana Malaysia
11 years ago
BBCSwahili26 Aug
Burundi:miili yapatikana ziwa Rweru
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Miili ya watu 8 yapatikana barabarani Burundi
11 years ago
Habarileo27 Dec
Mbaroni kwa kusafirisha maiti yenye mihadarati
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti akiwa na kete 17 tumboni kati ya 24 zinazodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya wakitokea mjini Tunduma, mkoani Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam.
11 years ago
GPL
GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
UN Watu 6000 wameuawa Ukraine
11 years ago
Mtanzania05 Sep
Nyumba 6000 za JWTZ zakamilika

Mradi wa nyumba za askari wa JWTZ na JKT
NA PATRICIA KIMELEMETA
SERIKALI imekamilisha ujenzi wa awamu ya kwanza wa nyumba 6,064 za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) zenye thamani ya dola za Kimarekani milioni 300.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Josephat Musira, alisema kuwa lengo la ujenzi wa nyumba hizo ni kupunguza tatizo la uhaba wa nyumba kwa wanajeshi na watumishi wa wizara hiyo.
Alisema katika...
9 years ago
IPPmedia06 Dec
UN report: 6000 female students expelled annually
IPPmedia
At least 6,000 female students are expelled from secondary schools in Tanzania every year due to pregnancies, making over 55,000 cases in a decade, increasing dependency and poverty among communities, the UN report has revealed. Unveiling the ...