Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKABURI YA HALAIKI YENYE MAITI 6000 YAPATIKANA BURUNDI

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

ZAIDI ya miili 6000 imepatikana katika makaburi ya halaiki nchini Burundi huku maiti 6032 na maelfu ya risasi yamegundulika katika makaburi sita ya halaiki katika eneo la Karusi nchini humo.

Mamlaka nchini Burundi imetangaza kugundua zaidi ya miili 6000 katika makaburi sita ya watu waliozikwa kijumuiya.

Yaliyogunduliwa katika eneo la Karusi ni makubwa kutokea tangu Serikali itangaze kuanza kwa kampeni ya kugundua makaburi hayo mwezi Januari 2014.

Pierre Claver...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lilizika 300 katika makaburi ya halaiki

Majeshi ya Nigeria yalizika zaidi ya miili 300 ya wasilamu wa Shia katika makaburi ya halaiki -Human Rights Watch

 

10 years ago

BBCSwahili

Makaburi 140 yapatikana Malaysia

Polisi nchini Malaysia wamepata makaburi 140 na kugundua kambi 28 haramu za walanguzi wa binadamu

 

11 years ago

BBCSwahili

Burundi:miili yapatikana ziwa Rweru

Burundi imeanzisha uchunguzi baada ya miili ya watu kupatikana ikielea katika ziwa la mpakani na Rwanda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Miili ya watu 8 yapatikana barabarani Burundi

Mwandishi BBC mjini humo, anasema baadhi ya miili ilikuwa na majeraha ya risasi kichwani, na inaelekea walifungwa kwa kamba kabla ya kuuawa.

 

11 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kusafirisha maiti yenye mihadarati

POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti akiwa na kete 17 tumboni kati ya 24 zinazodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya wakitokea mjini Tunduma, mkoani Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO

Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro,Faustine Shilogile akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Hizi ndio baadhi ya Pipi zilitolewa tumboni mwa Marehemu Khalid Kitala. …

 

10 years ago

BBCSwahili

UN Watu 6000 wameuawa Ukraine

Ripoti ya umoja wa mataifa kuhusu haki za kibinadamu imesema kuwa hali inazidi kuzorota mashariki mwa Ukraine

 

11 years ago

Mtanzania

Nyumba 6000 za JWTZ zakamilika

Mradi wa nyumba za askari wa JWTZ na JKT

Mradi wa nyumba za askari wa JWTZ na JKT

NA PATRICIA KIMELEMETA

SERIKALI imekamilisha ujenzi wa awamu ya kwanza wa nyumba 6,064 za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) zenye thamani ya dola za Kimarekani milioni 300.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Josephat Musira, alisema kuwa lengo la ujenzi wa nyumba hizo ni kupunguza tatizo la uhaba wa nyumba kwa wanajeshi na watumishi wa wizara hiyo.

Alisema katika...

 

9 years ago

IPPmedia

UN report: 6000 female students expelled annually


UN report: 6000 female students expelled annually
IPPmedia
At least 6,000 female students are expelled from secondary schools in Tanzania every year due to pregnancies, making over 55,000 cases in a decade, increasing dependency and poverty among communities, the UN report has revealed. Unveiling the ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani