Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN Watu 6000 wameuawa Ukraine

Ripoti ya umoja wa mataifa kuhusu haki za kibinadamu imesema kuwa hali inazidi kuzorota mashariki mwa Ukraine

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu 30 wameuawa Baghdad

Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya lori mjini Baghdad limelipuka na kuua watu zaidi ya 30 Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 27 wameuawa hotelini Tunisia

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja ya kitalii iliyoko kwenye pwani ya Tunisia na kuwauwa takriban watu 27

 

9 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 20 wameuawa Thailand

Mojawepo ya sehemu takatifu na maarufu zaidi katika mji mkuu wa Thailand, Bangkok imelipuliwa na mlipuko mkubwa

 

10 years ago

Michuzi

TUNISIA: WATU 37 WAMEUAWA HOTELINI

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja ya kitalii iliyoko kwenye pwani ya Tunisia na kuwauwa watu 37. Maafisa wa serikali ya Tunisia wamesema kuwa mmoja wa washambuliaji hao aliuawa kwa kupigwa risasi na maafisa wa ulinzi na kuwa waliosalia bado wanasakwa na polisi. Shambulio hilo lilitokea katika mji wa Sousse, ambao huwavutia maelfu ya watalii kutoka bara Ulaya na Afrika ya Kaskazini. Hili lilikuwa shambulizi la pili dhidi ya hoteli ya watalii nchini Tunisia katika kipindi cha miezi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 4 wameuawa usiku wa jana Bujumbura

Polisi wamesema watu wanne wameuawa usiku wa jana katika mashambulio yaliyotokea maeneo tofauti ya mji mkuu wa Bujumbura Burundi

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 20 wauawa mgogoro wa Ukraine

Zaidi ya watu 20 wamekufa katika vurugu mashariki mwa Ukraine wakati mkutano wa viongozi ukitarajiwa kuanza Jumatano

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 30 wafa kwa moto vitani Ukraine

Zaidi watu 30 wameuawa kwa moto wakati mapigano kati ya majeshi ya Ukraine na yale ya vikosi vya wanamgambo wanaounga mkono Urusi.

 

10 years ago

Mtanzania

Nyumba 6000 za JWTZ zakamilika

Mradi wa nyumba za askari wa JWTZ na JKT

Mradi wa nyumba za askari wa JWTZ na JKT

NA PATRICIA KIMELEMETA

SERIKALI imekamilisha ujenzi wa awamu ya kwanza wa nyumba 6,064 za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) zenye thamani ya dola za Kimarekani milioni 300.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Josephat Musira, alisema kuwa lengo la ujenzi wa nyumba hizo ni kupunguza tatizo la uhaba wa nyumba kwa wanajeshi na watumishi wa wizara hiyo.

Alisema katika...

 

9 years ago

IPPmedia

UN report: 6000 female students expelled annually


UN report: 6000 female students expelled annually
IPPmedia
At least 6,000 female students are expelled from secondary schools in Tanzania every year due to pregnancies, making over 55,000 cases in a decade, increasing dependency and poverty among communities, the UN report has revealed. Unveiling the ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani