Nyumba 6000 za JWTZ zakamilika
Mradi wa nyumba za askari wa JWTZ na JKT
NA PATRICIA KIMELEMETA
SERIKALI imekamilisha ujenzi wa awamu ya kwanza wa nyumba 6,064 za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) zenye thamani ya dola za Kimarekani milioni 300.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Josephat Musira, alisema kuwa lengo la ujenzi wa nyumba hizo ni kupunguza tatizo la uhaba wa nyumba kwa wanajeshi na watumishi wa wizara hiyo.
Alisema katika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
‘Kifaru’ cha JWTZ chavamia nyumba
Watatu wafariki papo hapo, wamo wanajeshiWengine taabani hospitali, JWTZ yachunguza
Na Rashid Mussa, MtwaraWATU watatu wakiwemo askari wawili wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wamefariki dunia baada ya gari maalumu la kubebea askari la jeshi hilo kugonga nyumba katika Kijiji cha Mnollela mkoani Lindi.Katika ajali hiyo iliyotokea jana alfajiri wakati gari hilo likitokea Mtwara kwenda Masasi, askari wengine sita walijeruhiwa huku wawili kati yao wakiwa na hali mbaya.Kamanda wa Polisi wa...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Gari maalumu la JWTZ laparamia nyumba, laua
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Safu za uongozi zakamilika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ohmiyP-qzCu9IYLVajapuuKRB7BUgoBrVqqOIcHM-wKQz5N6wR-v*J6Jq51S-cYP-qmelV08DzOMCE3TnhRQhCWZ70EW0Z1Z/jktezidume.jpg?width=750)
Taratibu za Tiba za Rais zakamilika
11 years ago
Mwananchi25 May
Tozo za mfuko wa fidia zakamilika
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-xpb4QkFkbh0/VHOld8Q1LdI/AAAAAAADOM8/oGHDZsfc_yA/s72-c/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
TARATIBU ZA TIBA ZA RAIS JAKAYA KIKWETE ZAKAMILIKA
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://1.bp.blogspot.com/-xpb4QkFkbh0/VHOld8Q1LdI/AAAAAAADOM8/oGHDZsfc_yA/s1600/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITaratibu za Tiba za Rais zakamilikaTaratibu za matibabu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete,...
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
UN Watu 6000 wameuawa Ukraine
9 years ago
IPPmedia06 Dec
UN report: 6000 female students expelled annually
IPPmedia
At least 6,000 female students are expelled from secondary schools in Tanzania every year due to pregnancies, making over 55,000 cases in a decade, increasing dependency and poverty among communities, the UN report has revealed. Unveiling the ...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
TANAPA yatoa mabati 6000 ya miradi vijijini
SHIRIKA la umma la Hifadhi ya Taifa Tanzania (TANAPA), limetoa mabati 6000, kwa ajili ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo katika vijiji vinavyozunguka hifadhi za taifa. Kauli hiyo ilitolewa jana...