Watu 20 wauawa mgogoro wa Ukraine
Zaidi ya watu 20 wamekufa katika vurugu mashariki mwa Ukraine wakati mkutano wa viongozi ukitarajiwa kuanza Jumatano
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Mgogoro wa Ukraine
Nchi za magharibi zimependekeza mipango mipya kumaliza mzozo kati ya serikali Ukraine na waasi wanaoungwa mkono na Urusi.
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
2 wauawa kwenye Ghasia Ukraine
Watu wawili wameripotiwa kuuwawa katika mji mkuu wa Ukraine Kiev katika makabiliano yaliyozuka upya kati ya polisi na waandamanaji wanaopigania demokrasia
11 years ago
BBCSwahili27 May
Wapiganaji 30 wauawa nchini Ukraine
Takriban wapiganaji 30 wanaounga mkono Urusi,wameuawa katika mapigano yaliyozuka katika uwanja wa ndege mjini Donetsk,Mashariki mwa Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
7 wauawa kwenye mgogoro wa ardhi TZ
Watu saba wameuwa na wengine wamejeruhiwa katika mapigano ya jamii za wakulima na Wafugaji mkoani Manyara nchini Tanzania.
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mamia wauawa katika mgogoro wa Yemen
Mamia ya watu wamepoteza maisha nchini Yemen kutokana na mapigano kati ya vikundi vya waasi na majeshi ya serikali
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
UN Watu 6000 wameuawa Ukraine
Ripoti ya umoja wa mataifa kuhusu haki za kibinadamu imesema kuwa hali inazidi kuzorota mashariki mwa Ukraine
11 years ago
BBCSwahili03 May
Watu 30 wafa kwa moto vitani Ukraine
Zaidi watu 30 wameuawa kwa moto wakati mapigano kati ya majeshi ya Ukraine na yale ya vikosi vya wanamgambo wanaounga mkono Urusi.
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Watu 7 wauawa Somalia
Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Watu 50 wauawa Pakistan
Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa katika bomu la kujitoa muhanga huko Pakistan mpakani na India
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania