2 wauawa kwenye Ghasia Ukraine
Watu wawili wameripotiwa kuuwawa katika mji mkuu wa Ukraine Kiev katika makabiliano yaliyozuka upya kati ya polisi na waandamanaji wanaopigania demokrasia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Vikwazo kwa viongozi wa ghasia Ukraine
Mawaziri wa mambo ya nje wa Muungano wa Ulaya, wameamua kuwawekea vikwazo viongozi wa ghasia zinazoendelea nchini Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili25 Apr
Kerry ashutumu Urusi kwa ghasia Ukraine
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amelaumu Urusi kwa kuchochea mapigano Masahriki mwa Ukraine kuliko makundi ya kjujitenga.
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
Watu sita wauawa katika ghasia Somali
Takriban watu sita wameuawa katika ghasia katikati mwa Somali.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dnMa02sjzgs/XlbV1BTsXNI/AAAAAAALfoY/SEVZdCraK2gFQu8PBnT9z7gHE7Q4k7iIgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpmd7e85570fc11veg_800C450.jpg)
Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi
![](https://1.bp.blogspot.com/-dnMa02sjzgs/XlbV1BTsXNI/AAAAAAALfoY/SEVZdCraK2gFQu8PBnT9z7gHE7Q4k7iIgCLcBGAsYHQ/s640/4bpmd7e85570fc11veg_800C450.jpg)
Vyombo vya dola nchini humo vimeripoti kuwa, watu hao waliuawa katika mji mkuu Bujumbura, na kwamba maafisa wawili wa polisi wameuawa pia katika ghasia hizo za kabla ya uchaguzi.
Vyombo vya usalama nchini Burundi vimesema kuwa, vimewatia mbaroni watu sita wanaohusishwa na uhalifu huo wa kabla ya uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu....
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Watu 20 wauawa mgogoro wa Ukraine
Zaidi ya watu 20 wamekufa katika vurugu mashariki mwa Ukraine wakati mkutano wa viongozi ukitarajiwa kuanza Jumatano
11 years ago
BBCSwahili27 May
Wapiganaji 30 wauawa nchini Ukraine
Takriban wapiganaji 30 wanaounga mkono Urusi,wameuawa katika mapigano yaliyozuka katika uwanja wa ndege mjini Donetsk,Mashariki mwa Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
20 wajeruhiwa kwenye ghasia DRC
Watu ishirini wamejeruhiwa baada ya polisi kufyatua risasi katika mji wa Bukavu, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Ghasia kwenye kura ya maamuzi Misri
Wafuasi wa Rais aliyeondolewa mamlakani Mohammed Morsi walizua vurugu na hata kusababisha vifo kadhaa.
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Ukraine hali sio hali-22 wauawa
Angalau watu 22 wameuawa katika ghasia zilizozuka upya kati ya waandamanaji na polisi mjini Kiev Ukraine, baada ya makubaliano yaliyofikiwa kutibuka.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania