Kerry ashutumu Urusi kwa ghasia Ukraine
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amelaumu Urusi kwa kuchochea mapigano Masahriki mwa Ukraine kuliko makundi ya kjujitenga.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Vikwazo kwa viongozi wa ghasia Ukraine
Mawaziri wa mambo ya nje wa Muungano wa Ulaya, wameamua kuwawekea vikwazo viongozi wa ghasia zinazoendelea nchini Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Putin ashutumu mapinduzi nchini Ukraine
Rais Vladimir Putin wa Urusi amesema ukiukaji wa katiba ndiyo chanzo cha ghasia nchini Ukraine
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Ukraine yafunga anga yake kwa Urusi
Ukraine imefunga anga yake kwa ndege zote za Urusi kufuatia mzozo kuhusu kukatizwa kwa kawi ya jimbo la Crimea
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Urusi yatoa onyo kali kwa Ukraine
Urusi imeionya Ukraine kuancha maandalizi yoyote ya kijesh katika majimbo yanayotaka kujitenga
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Urusi yasitisha huduma ya gesi kwa Ukraine
Kampuni ya Urusi Gazprom imesitisha usambazaji wake wa gesi kwa Ukraine baada ya siku ya mwisho ya Ukraine kulipa deni lake la dola billioni 2 kukamilika.
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
2 wauawa kwenye Ghasia Ukraine
Watu wawili wameripotiwa kuuwawa katika mji mkuu wa Ukraine Kiev katika makabiliano yaliyozuka upya kati ya polisi na waandamanaji wanaopigania demokrasia
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
EU yaonya Urusi isiingie Ukraine
EU imeonya Urusi isitume majeshi yake ndani ya Ukraine kwa kisingio cha kutoa misaada.
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
G7 yailaani Urusi kuihusu Ukraine
Kundi la mataifa ya G7 laitaka Urusi kushughulikia wasiwasi wake kuihusu Ukraine kwa njia ya mazungumzo au kupitia mpatanishi.
11 years ago
BBCSwahili27 Aug
Ukraine na Urusi zafanya mazungumzo
Marais wa Urusi na Ukraine wamekuwa na mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja kuhusu mgogoro wa Ukraine,
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania