Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kerry ashutumu Urusi kwa ghasia Ukraine

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amelaumu Urusi kwa kuchochea mapigano Masahriki mwa Ukraine kuliko makundi ya kjujitenga.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Vikwazo kwa viongozi wa ghasia Ukraine

Mawaziri wa mambo ya nje wa Muungano wa Ulaya, wameamua kuwawekea vikwazo viongozi wa ghasia zinazoendelea nchini Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Putin ashutumu mapinduzi nchini Ukraine

Rais Vladimir Putin wa Urusi amesema ukiukaji wa katiba ndiyo chanzo cha ghasia nchini Ukraine

 

9 years ago

BBCSwahili

Ukraine yafunga anga yake kwa Urusi

Ukraine imefunga anga yake kwa ndege zote za Urusi kufuatia mzozo kuhusu kukatizwa kwa kawi ya jimbo la Crimea

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yatoa onyo kali kwa Ukraine

Urusi imeionya Ukraine kuancha maandalizi yoyote ya kijesh katika majimbo yanayotaka kujitenga

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yasitisha huduma ya gesi kwa Ukraine

Kampuni ya Urusi Gazprom imesitisha usambazaji wake wa gesi kwa Ukraine baada ya siku ya mwisho ya Ukraine kulipa deni lake la dola billioni 2 kukamilika.

 

11 years ago

BBCSwahili

2 wauawa kwenye Ghasia Ukraine

Watu wawili wameripotiwa kuuwawa katika mji mkuu wa Ukraine Kiev katika makabiliano yaliyozuka upya kati ya polisi na waandamanaji wanaopigania demokrasia

 

11 years ago

BBCSwahili

EU yaonya Urusi isiingie Ukraine

EU imeonya Urusi isitume majeshi yake ndani ya Ukraine kwa kisingio cha kutoa misaada.

 

11 years ago

BBCSwahili

G7 yailaani Urusi kuihusu Ukraine

Kundi la mataifa ya G7 laitaka Urusi kushughulikia wasiwasi wake kuihusu Ukraine kwa njia ya mazungumzo au kupitia mpatanishi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine na Urusi zafanya mazungumzo

Marais wa Urusi na Ukraine wamekuwa na mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja kuhusu mgogoro wa Ukraine,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani