Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukraine yafunga anga yake kwa Urusi

Ukraine imefunga anga yake kwa ndege zote za Urusi kufuatia mzozo kuhusu kukatizwa kwa kawi ya jimbo la Crimea

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Urusi: haijapeleka majeshi yake Ukraine

Rais Vladimir Putin wa Urusi, amesema bado hakuna haja kwa nchi yake kupeleka majeshi nchini Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yatoa onyo kali kwa Ukraine

Urusi imeionya Ukraine kuancha maandalizi yoyote ya kijesh katika majimbo yanayotaka kujitenga

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yasitisha huduma ya gesi kwa Ukraine

Kampuni ya Urusi Gazprom imesitisha usambazaji wake wa gesi kwa Ukraine baada ya siku ya mwisho ya Ukraine kulipa deni lake la dola billioni 2 kukamilika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kerry ashutumu Urusi kwa ghasia Ukraine

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amelaumu Urusi kwa kuchochea mapigano Masahriki mwa Ukraine kuliko makundi ya kjujitenga.

 

9 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yafunga mauzo ya dhamana yake kwa mafanikio makubwa.

Benki ya Exim Tanzania imetangaza kufunga mauzo ya dhamana yake ya muda mrefu (hati fungani) huku ikibainisha kuwa kiasi kilichopatikana kutokana na mauzo ya hati hizo kimezidi mara dufu (asilimia 195) ya malengo ya awali.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana, uuzwaji wa dhamana hizo ulifungwa rasmi Disemba 18 mwaka huu huku benki hiyo ikifanikiwa kukusanya kiasi cha sh bilioni 19.7 kutokana na mauzo ya dhamana hiyo tofauti na makadilio ya sh. bilioni 10...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yafunga mipaka yake Tanzania na Somalia kwa siku 30

Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kufungwa kwa mipaka ya nchi yake kwa kipindi cha muda wa siku 30

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine na Urusi zafanya mazungumzo

Marais wa Urusi na Ukraine wamekuwa na mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja kuhusu mgogoro wa Ukraine,

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yawanasa raiya 25 wa Ukraine

Kitengo cha usalama wa ndani cha Urusi Kimewatia mbaroni raiya 25 kutoka Ukraine kwa uchochezi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi kuingilia walioshikiliwa Ukraine

Ujumbe wa Urusi umesema watafanya kila njia kuhakikisha waangalizi wa kijeshi wa Umoja wa Ulaya walioshikiliwa Ukraine wanaachiliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani