Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji 30 wauawa nchini Ukraine

Takriban wapiganaji 30 wanaounga mkono Urusi,wameuawa katika mapigano yaliyozuka katika uwanja wa ndege mjini Donetsk,Mashariki mwa Ukraine.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Makomando wawasaka wapiganaji Ukraine

Vikosi vya jeshi nchini Ukrain vimekuwa vikielekea mji wa Slavyask ambayo ni ngome ya makundi ya wapiganaji wanaounga mkono Urusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

HRW:Wapiganaji wanawatesa raia Ukraine

Shirika la kutetea haki za binadamu Human Rights Watch linaripoti visa vya ukiukwaji wa haki za binadamu katika maeneo yanayotawaliwa na waasi wa Ukraine

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 27 wauawa Misri

Wanamgambo 27 wa kiislamu wameuawa kwenye oparesheni kubwa ilioendeshwa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai Kaskazini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 10 wa Taleban wauawa na IS

Jeshi la Afghanistan limesema wanachama kumi wa kundi la Taliban wameuliwa na wapiganaji wa Islamic State walioko mashariki mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 70 wa Alshabaab wauawa

Mamlaka kusini mwa Somali inasema kuwa zaidi ya wapiganaji 70 wa kundi la Alshabaab waliuawa katika mapigano siku ya jumamosi

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa kipalestina wauawa Gaza

Wanamgambo tisa wa kipalestina wameuawa katika mashambulizi ya angani yaliyofanywa na Israel katika ukanda wa Gaza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 38 wa Boko Haram wauawa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limeauawa wapiganaji 38 wa Boko Haram wakati wa mapambanao dhidi ya kundio hilo katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 260 wa kikurdi wauawa

Shirika la habari la taifa la Uturuki, linasema kuwa wapiganaji wa Kikurd 260 wameuawa katika mashambulio ya ndege ya juma moja, dhidi ya kundi la PKK, lilopigwa marufuku.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Alshabaab wauawa Somalia

Serikali ya Somalia inasema kuwa takriban wanamgambo 45 wa kundi la Al-Shabab wameuawa kwenye shambulizi la angani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani