Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji 260 wa kikurdi wauawa

Shirika la habari la taifa la Uturuki, linasema kuwa wapiganaji wa Kikurd 260 wameuawa katika mashambulio ya ndege ya juma moja, dhidi ya kundi la PKK, lilopigwa marufuku.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Kikurdi washambuliwa

Uturuki imeanzisha tena msururu wa mashambulizi dhidi ya wapiganaji wa Kikurdi yanayolenga maeneo 17 kusini mashariki, kwa mujibu wa jeshi

 

9 years ago

BBCSwahili

HRW lawalaumu wapiganaji wa Kikurdi

Shirika la kibinadamu la Human Rights Watch limewalaumu wapiganaji Wakurdi wa Syria wa Kaskazini Mashariki kwa kufanya kampeni ya makusudi kuwatimua manyumbani watu wenye asili ya Kiarabu

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 10 wa Taleban wauawa na IS

Jeshi la Afghanistan limesema wanachama kumi wa kundi la Taliban wameuliwa na wapiganaji wa Islamic State walioko mashariki mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 27 wauawa Misri

Wanamgambo 27 wa kiislamu wameuawa kwenye oparesheni kubwa ilioendeshwa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai Kaskazini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 70 wa Alshabaab wauawa

Mamlaka kusini mwa Somali inasema kuwa zaidi ya wapiganaji 70 wa kundi la Alshabaab waliuawa katika mapigano siku ya jumamosi

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 30 wauawa nchini Ukraine

Takriban wapiganaji 30 wanaounga mkono Urusi,wameuawa katika mapigano yaliyozuka katika uwanja wa ndege mjini Donetsk,Mashariki mwa Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 7 wauawa na wapiganaji Cameroon

Zaidi ya watu 7 wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulio linaloaminika kufanywa na kundi la wapiganaji wa Boko Haram huko kaskazini mwa Cameroon.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 53 wa Boko Haram wauawa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaua wanachama 53 wa kundi la Boko haram kufuatia shambulizi lao katika eneo la Damboa .

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 38 wa Boko Haram wauawa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limeauawa wapiganaji 38 wa Boko Haram wakati wa mapambanao dhidi ya kundio hilo katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani