Wapiganaji wa Kikurdi washambuliwa
Uturuki imeanzisha tena msururu wa mashambulizi dhidi ya wapiganaji wa Kikurdi yanayolenga maeneo 17 kusini mashariki, kwa mujibu wa jeshi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Aug
Wapiganaji 260 wa kikurdi wauawa
Shirika la habari la taifa la Uturuki, linasema kuwa wapiganaji wa Kikurd 260 wameuawa katika mashambulio ya ndege ya juma moja, dhidi ya kundi la PKK, lilopigwa marufuku.
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
HRW lawalaumu wapiganaji wa Kikurdi
Shirika la kibinadamu la Human Rights Watch limewalaumu wapiganaji Wakurdi wa Syria wa Kaskazini Mashariki kwa kufanya kampeni ya makusudi kuwatimua manyumbani watu wenye asili ya Kiarabu
11 years ago
BBCSwahili27 May
Maafisa wa UN washambuliwa Syria
Maafisa sita wa kikosi cha Umoja wa Mataifa waliokuwa wanachunguza madai ya kutumiwa kwa gesi ya Chlorine nchini Syria pamoja na madereva watano wameshambuliwa.
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
Askari wa UN Syria washambuliwa
Askari kutoka Philippines wa kuweka amani baina ya Syria na Israel washambuliwa na wapiganaji wa Syria
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Wanajeshi washambuliwa Misri
Televisheni ya taifa ya Misri imetangaza kuwa mwanajeshi 1 amepigwa risasi na kuuawa na watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki na kufunika nyuso zao
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Wachezaji wa Fenerbahce washambuliwa
Basi la kilabu ya Fenerbahce lilifyatuliwa risasi na wapiganaji baada ya kilabu hiyo ya Uturuki kupata ushindi wa mabao 5-1.
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Msikiti washambuliwa Sweden
Polisi nchini Sweden wanamtafuta mshukiwa mmoja katika kile ambacho wanamini kuwa shambulizi jengine kwenye msikiti.
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Wabunge wa Libya washambuliwa
Wabunge wawili nchini Libya walipigwa risasi, na kuumizwa baada ya kundi la waandamanaji kuwashambulia bungeni katika mji mkuu wa Tripoli.
11 years ago
BBCSwahili17 Jan
Waandamanaji washambuliwa Bangkok
Watu wapatao ishirini na wanane wamejeruhiwa katika shambulio dhidi ya waandamanaji wanaoipinga serikali mjini Bangkok, Thailand.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania