Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wa Libya washambuliwa

Wabunge wawili nchini Libya walipigwa risasi, na kuumizwa baada ya kundi la waandamanaji kuwashambulia bungeni katika mji mkuu wa Tripoli.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Uwanja wa ndege washambuliwa Libya

Uwanja wa kimataifa wa ndege nchini Libya umelipuliwa kwa roketi, siku moja baada ya mapigano kusababisha uwanja huo kufungwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubalozi wa K Kusini washambuliwa Libya

Watu wasiojulikana wameushambulia ubalozi wa Korea Kusini kwenye mji mkuu wa Libya Tripoli ambapo walinzi waliuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Libya kuwachagua wabunge wapya

Upigaji kura umeanza nchini Libya ambapo raia wanachagua bunge jipya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi washambuliwa Misri

Televisheni ya taifa ya Misri imetangaza kuwa mwanajeshi 1 amepigwa risasi na kuuawa na watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki na kufunika nyuso zao

 

11 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji washambuliwa Bangkok

Watu wapatao ishirini na wanane wamejeruhiwa katika shambulio dhidi ya waandamanaji wanaoipinga serikali mjini Bangkok, Thailand.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msikiti washambuliwa Sweden

Polisi nchini Sweden wanamtafuta mshukiwa mmoja katika kile ambacho wanamini kuwa shambulizi jengine kwenye msikiti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askari wa UN Syria washambuliwa

Askari kutoka Philippines wa kuweka amani baina ya Syria na Israel washambuliwa na wapiganaji wa Syria

 

10 years ago

BBCSwahili

Waumini washambuliwa Jerusalem

Takriban waisreli wanne wameuawa na wnegine 8 kujeruhiwa katika kile polisi wanasema ni shambulio la kigaidi dhidi ya Sinagogi eneo la magharibi ya Jerusalem.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa Fenerbahce washambuliwa

Basi la kilabu ya Fenerbahce lilifyatuliwa risasi na wapiganaji baada ya kilabu hiyo ya Uturuki kupata ushindi wa mabao 5-1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani