Wanajeshi washambuliwa Misri
Televisheni ya taifa ya Misri imetangaza kuwa mwanajeshi 1 amepigwa risasi na kuuawa na watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki na kufunika nyuso zao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 Mar
Wanajeshi sita wauawa Misri
Watu wasiojulikana wamewashambulia wanajeshi waliokuwa wanashika doria katika kizuizi cha barabarani viungani mwa mji mkuu Misri.
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Wanajeshi saba wauawa na bomu Misri
Maafisa nchini Misri wanasema kuwa takriban wanajeshi saba wameuawa na wengine wanne kujeruhiwa baada ya bomu kulipuka
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Waumini washambuliwa Jerusalem
Takriban waisreli wanne wameuawa na wnegine 8 kujeruhiwa katika kile polisi wanasema ni shambulio la kigaidi dhidi ya Sinagogi eneo la magharibi ya Jerusalem.
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Wabunge wa Libya washambuliwa
Wabunge wawili nchini Libya walipigwa risasi, na kuumizwa baada ya kundi la waandamanaji kuwashambulia bungeni katika mji mkuu wa Tripoli.
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Msikiti washambuliwa Sweden
Polisi nchini Sweden wanamtafuta mshukiwa mmoja katika kile ambacho wanamini kuwa shambulizi jengine kwenye msikiti.
11 years ago
BBCSwahili17 Jan
Waandamanaji washambuliwa Bangkok
Watu wapatao ishirini na wanane wamejeruhiwa katika shambulio dhidi ya waandamanaji wanaoipinga serikali mjini Bangkok, Thailand.
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Wachezaji wa Fenerbahce washambuliwa
Basi la kilabu ya Fenerbahce lilifyatuliwa risasi na wapiganaji baada ya kilabu hiyo ya Uturuki kupata ushindi wa mabao 5-1.
11 years ago
BBCSwahili27 May
Maafisa wa UN washambuliwa Syria
Maafisa sita wa kikosi cha Umoja wa Mataifa waliokuwa wanachunguza madai ya kutumiwa kwa gesi ya Chlorine nchini Syria pamoja na madereva watano wameshambuliwa.
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
Askari wa UN Syria washambuliwa
Askari kutoka Philippines wa kuweka amani baina ya Syria na Israel washambuliwa na wapiganaji wa Syria
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania