Maafisa wa UN washambuliwa Syria
Maafisa sita wa kikosi cha Umoja wa Mataifa waliokuwa wanachunguza madai ya kutumiwa kwa gesi ya Chlorine nchini Syria pamoja na madereva watano wameshambuliwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
Askari wa UN Syria washambuliwa
Askari kutoka Philippines wa kuweka amani baina ya Syria na Israel washambuliwa na wapiganaji wa Syria
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Maafisa wa polisi washambuliwa Burundi
Kumekuwa na msururu wa mashambulizi ya maguruneti kuwalenga maafisa wa polisi katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Wapiganaji wa Kikurdi washambuliwa
Uturuki imeanzisha tena msururu wa mashambulizi dhidi ya wapiganaji wa Kikurdi yanayolenga maeneo 17 kusini mashariki, kwa mujibu wa jeshi
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Wanajeshi washambuliwa Misri
Televisheni ya taifa ya Misri imetangaza kuwa mwanajeshi 1 amepigwa risasi na kuuawa na watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki na kufunika nyuso zao
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Wachezaji wa Fenerbahce washambuliwa
Basi la kilabu ya Fenerbahce lilifyatuliwa risasi na wapiganaji baada ya kilabu hiyo ya Uturuki kupata ushindi wa mabao 5-1.
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Wabunge wa Libya washambuliwa
Wabunge wawili nchini Libya walipigwa risasi, na kuumizwa baada ya kundi la waandamanaji kuwashambulia bungeni katika mji mkuu wa Tripoli.
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Msikiti washambuliwa Sweden
Polisi nchini Sweden wanamtafuta mshukiwa mmoja katika kile ambacho wanamini kuwa shambulizi jengine kwenye msikiti.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania