Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maafisa wa UN washambuliwa Syria

Maafisa sita wa kikosi cha Umoja wa Mataifa waliokuwa wanachunguza madai ya kutumiwa kwa gesi ya Chlorine nchini Syria pamoja na madereva watano wameshambuliwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Askari wa UN Syria washambuliwa

Askari kutoka Philippines wa kuweka amani baina ya Syria na Israel washambuliwa na wapiganaji wa Syria

 

10 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa polisi washambuliwa Burundi

Kumekuwa na msururu wa mashambulizi ya maguruneti kuwalenga maafisa wa polisi katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Kikurdi washambuliwa

Uturuki imeanzisha tena msururu wa mashambulizi dhidi ya wapiganaji wa Kikurdi yanayolenga maeneo 17 kusini mashariki, kwa mujibu wa jeshi

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi washambuliwa Misri

Televisheni ya taifa ya Misri imetangaza kuwa mwanajeshi 1 amepigwa risasi na kuuawa na watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki na kufunika nyuso zao

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa Fenerbahce washambuliwa

Basi la kilabu ya Fenerbahce lilifyatuliwa risasi na wapiganaji baada ya kilabu hiyo ya Uturuki kupata ushindi wa mabao 5-1.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wabunge wa Libya washambuliwa

Wabunge wawili nchini Libya walipigwa risasi, na kuumizwa baada ya kundi la waandamanaji kuwashambulia bungeni katika mji mkuu wa Tripoli.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msikiti washambuliwa Sweden

Polisi nchini Sweden wanamtafuta mshukiwa mmoja katika kile ambacho wanamini kuwa shambulizi jengine kwenye msikiti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani