Watu sita wauawa katika ghasia Somali
Takriban watu sita wameuawa katika ghasia katikati mwa Somali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dnMa02sjzgs/XlbV1BTsXNI/AAAAAAALfoY/SEVZdCraK2gFQu8PBnT9z7gHE7Q4k7iIgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpmd7e85570fc11veg_800C450.jpg)
Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi
![](https://1.bp.blogspot.com/-dnMa02sjzgs/XlbV1BTsXNI/AAAAAAALfoY/SEVZdCraK2gFQu8PBnT9z7gHE7Q4k7iIgCLcBGAsYHQ/s640/4bpmd7e85570fc11veg_800C450.jpg)
Vyombo vya dola nchini humo vimeripoti kuwa, watu hao waliuawa katika mji mkuu Bujumbura, na kwamba maafisa wawili wa polisi wameuawa pia katika ghasia hizo za kabla ya uchaguzi.
Vyombo vya usalama nchini Burundi vimesema kuwa, vimewatia mbaroni watu sita wanaohusishwa na uhalifu huo wa kabla ya uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu....
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Watu sita wauawa msikitini Nigeria
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AONGOZA MAELFU KATIKA MAZISHI YA WATU SITA WA FAMILIA MOJA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MOTO
Baba wa watoto wawili waliokufa katika ajali ya moto, Emmanuel Mpila akiweka shada la maua katika kaburi la mmoja wa watoto wake, Pauline.
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Watu 70 wauawa katika milipuko Nigeria
11 years ago
Habarileo07 Jul
Watu 29 wauawa katika mashambulizi Kenya
WATU wenye silaha wameua watu 29 katika mashambulizi mawili tofauti eneo la Pwani ya Kenya.
10 years ago
StarTV18 May
Watu 9 wauawa katika shambulio Marekani
Polisi nchini Marekani wamesema kuwa watu tisa wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na watu wenye silaha waliokuwa kwenye pikipiki katika mkahawa mmoja katika mji wa Waco.
Hata hivyo watu wengine 18 walipelekwa hospitali kupatiwa matibabu kutokana shambulio hilo.
Maofisa katika mji huo wanasema kuwa walibaini mkusanyiko kati ya watu watano walioonekana kupanga jambo lisilo la kawaida.
Watu waliokuwa katika mkahawa huo walijificha katika chumba cha majokofu katika harakati za...
10 years ago
StarTV05 May
Watu 3 wauawa katika maandamano Burundi.
Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .
Polisi walifyatua risasi huku waandamanaji wakirusha mawe na guruneti.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504132657_burundi_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Ghasia Burundi
Polisi wawili na waandamanaji sita nao walijeruhiwa.
Waandamanaji hao wanalalamikia hatua ya rais Pierre Nkurunziza ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
viagra online pharmacy in australia BBC
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Watu 10 wauawa katika mkanyagano India