Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 29 wauawa katika mashambulizi Kenya

WATU wenye silaha wameua watu 29 katika mashambulizi mawili tofauti eneo la Pwani ya Kenya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Gaza:Watu 100 wauawa katika mashambulizi

Idadi ya watu waliofariki katika mashambulizi yanayofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza, katika siku nne zilizopita, imefika 100

 

9 years ago

GPL

WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA

Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 18 wauawa kwa mashambulizi Nigeria

Watu 18 wameuawa baada ya kushambuliwa na watu wanaoaminika kuwa wanamgambo wa Boko Haram mjini Shaffa

 

11 years ago

BBCSwahili

3 wauawa katika mashambulizi Beirut

Maafisa wa usalama wanasema washambulizi wawili wa kujitoa muhanga wamejilipua karibu na ubalozi wa Iran na kuwauwa watu 3 wengine wakijeruhiwa

 

11 years ago

BBCSwahili

52 wauawa katika mashambulizi Nigeria

Afisa mmoja wa usalama amesema waliofanya mashambulizi walitega mabomu katika soko moja katika kijiji cha Kawuri siku ya Jumapili.

 

10 years ago

StarTV

Watu 6 wauawa kufuatia shambulizi Kenya

Takriban watu sita wameuawa baada ya watu watano wanaodaiwa kufinika nyuso zao kushambulia chuo kikuu cha Garrissa Kaskazini mashariki mwa Kenya.

Watu hao wanadaiwa kuingia katika taasisi hiyo mwendo wa saa kumi asubuhi wakati ambapo waislamu walikuwa wakifanya sala yao ya alfajiri.

Hatahivyo maafisa wa polisi wanasema kuwa shambulizi hilo lilifanyika mwendo wa saa kumi na moja unusu.

Mwandishi wa BBC mjini humo anasema kuwa walinzi wawili waliuawa katika lango la chuo hicho huku maafisa...

 

10 years ago

GPL

WATU 14 WAUAWA NA AL-SHABAAB NCHINI KENYA

Maofisa wa polisi wakiwa eneo la tukio lilipotokea shambulio lililoua watu 14 usiku wa kuamkia leo. Takribani watu 14 wameuawa, 11 wakijeruhiwa baada ya Al-Shabaab kushambulia kijiji cha Soko Mbuzi kilichopo jirani na Mji wa Mandera nchini Kenya usiku wa kuamkia leo. Mamlaka husika huko Mandera yathibitisha. Taswira kutoka Kijiji cha Soko Mbuzi lilipotokea shambulio.… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al shabaab:Watu 3 wauawa Wajir, Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wanasema kuwa takriban watu 3 wameuawa katika mji wa kazkazini wa Wajir,

 

10 years ago

GPL

BASI LA ABIRIA LAVAMIWA KENYA, WATU 28 WAUAWA

Polisi wa kenya (Picha na Maktaba). Habari kutoka Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya zinasema kuwa, abiria 28 wameuawa na wengine kujeruhiwa baada ya watu wenye silaha kuvamia basi walimokuwa wakisafiria leo alfajiri. Habari zaidi zinasema wavamizi hao huenda ni wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabab. Mashuhuda wa tukio hilo wanasema wavamizi hao walikuwa wa asili ya kisomali na waliwaua abiria ambao si Waislamu. Jambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani