Watu 6 wauawa kufuatia shambulizi Kenya
Takriban watu sita wameuawa baada ya watu watano wanaodaiwa kufinika nyuso zao kushambulia chuo kikuu cha Garrissa Kaskazini mashariki mwa Kenya.
Watu hao wanadaiwa kuingia katika taasisi hiyo mwendo wa saa kumi asubuhi wakati ambapo waislamu walikuwa wakifanya sala yao ya alfajiri.
Hatahivyo maafisa wa polisi wanasema kuwa shambulizi hilo lilifanyika mwendo wa saa kumi na moja unusu.
Mwandishi wa BBC mjini humo anasema kuwa walinzi wawili waliuawa katika lango la chuo hicho huku maafisa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
4 wauawa katika shambulizi Kenya
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Watu 5 wauawa kufuatia maandamano Niger
11 years ago
Habarileo07 Jul
Watu 29 wauawa katika mashambulizi Kenya
WATU wenye silaha wameua watu 29 katika mashambulizi mawili tofauti eneo la Pwani ya Kenya.
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Al shabaab:Watu 3 wauawa Wajir, Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KWPY3KRntMw1ZMVdkloCGb3ULGT4Pmq3kiy1Qga7VZF8EbnvWXETWLmwWKRbYhUNKpsfUzreixs3i56lQrSmprxf5yBUBxtR/mandera.jpg)
WATU 14 WAUAWA NA AL-SHABAAB NCHINI KENYA
11 years ago
BBCSwahili23 Mar
Watu wawili wauawa ndani ya kanisa kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N7*qQ6E0U5J5CASrKxOsc3KgeOM8R6j-IwcSmiCG*L2ymcYEVTFfnDS7B2icIaUYXG5LfY9JnT07-HSjK3voute3*FSdkzRz/kenyasecurityattacks.jpg?width=650)
BASI LA ABIRIA LAVAMIWA KENYA, WATU 28 WAUAWA
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
9 wauawa kwenye shambulizi Somalia
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
50 wauawa katika shambulizi Afghanistan