Watu 5 wauawa kufuatia maandamano Niger
Watu watano wameuawa nchini Niger, ikiwa ni siku ya tatu ya maadamano ya kupinga kuchapishwa kwa kibonzo cha mtume Mohammed
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV02 Apr
Watu 6 wauawa kufuatia shambulizi Kenya
Takriban watu sita wameuawa baada ya watu watano wanaodaiwa kufinika nyuso zao kushambulia chuo kikuu cha Garrissa Kaskazini mashariki mwa Kenya.
Watu hao wanadaiwa kuingia katika taasisi hiyo mwendo wa saa kumi asubuhi wakati ambapo waislamu walikuwa wakifanya sala yao ya alfajiri.
Hatahivyo maafisa wa polisi wanasema kuwa shambulizi hilo lilifanyika mwendo wa saa kumi na moja unusu.
Mwandishi wa BBC mjini humo anasema kuwa walinzi wawili waliuawa katika lango la chuo hicho huku maafisa...
10 years ago
StarTV05 May
Watu 3 wauawa katika maandamano Burundi.
Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .
Polisi walifyatua risasi huku waandamanaji wakirusha mawe na guruneti.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504132657_burundi_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Ghasia Burundi
Polisi wawili na waandamanaji sita nao walijeruhiwa.
Waandamanaji hao wanalalamikia hatua ya rais Pierre Nkurunziza ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
viagra online pharmacy in australia BBC
10 years ago
BBCSwahili04 May
Watu 2 wauawa katika maandamano Burundi
5 years ago
CCM Blog30 May
MAANDAMANO MAKUBWA KUFUATIA JINAI ZA POLISI WA MAREKANI DHIDI YA WAMAREKANI WEUSI
![Maandamano makubwa kufuatia jinai za polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi](https://media.parstoday.com/image/4bv9fbe534bf5f1nuyd_800C450.jpg)
11 years ago
BBCSwahili02 May
Maandamano Ethiopia:Tisa wauawa
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Boko Haram lawaua watu 38 nchini Niger
10 years ago
Vijimambo09 Nov
JK atuma rambirambi kufuatia vifo vya watu 12
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Rais%20Jakaya%20Kikwete-November8-2014.jpg)
“Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko taarifa za vifo vya watu 12 waliopoteza maisha papo hapo na kusababisha simanzi kubwa kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki zao, huku taifa likipoteza nguvu kazi muhimu kwa maendeleo yake kutokana na ajali za barabarani,” alisema.
Aliwaomba wote waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo...
11 years ago
CloudsFM12 Jun
WATU 10 WATIWA MBARONI NA POLISI KUFUATIA VURUGU ZILIZOTOKEA JIJINI MWANZA
Polisi jijini Mwanza imelazimika kutumia mabomu ya machozi kufuatia vurugu za baaadhi ya wafanyabiashara wadogo maaarufu kama machinga na watoto wa mitaani wakipinga kupinga zoezi la kuhamishwa eneo la Makoroboi walilokuwa wakifanyia biashara hapo awali.
Zoezi hili limesababisha wafayabiashara mbalimbali kufunga biashara zao na wengine kupoteza mizigo kutokana na vurugu hizo huku idadi kubwa ya wananchi wakishindwa kuendelea na shuguli zao
Nia aina ya vurugu zilizo tokea kwa takribani masaa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-liRPgfGBLTU/VBCIK2wNx9I/AAAAAAAAoZs/cudZXKAUMFA/s72-c/IMG-20140909-WA0001.jpg)
watu wili wadaiwa kupoteza maisha kufuatia ajali ya basi la Ruksa
![](http://3.bp.blogspot.com/-liRPgfGBLTU/VBCIK2wNx9I/AAAAAAAAoZs/cudZXKAUMFA/s1600/IMG-20140909-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5kfPPFC6uL0/VBCIJ48jarI/AAAAAAAAoZk/2xf9KhhTnaA/s1600/IMG-20140909-WA0038.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SmtI5hXSqJk/VBCIQ9aN0dI/AAAAAAAAoaE/q_8oAoLJyas/s1600/IMG-20140908-WA0047.jpg)