Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 2 wauawa katika maandamano Burundi

Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Watu 3 wauawa katika maandamano Burundi.

Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .

Polisi walifyatua risasi huku waandamanaji wakirusha mawe na guruneti.


Ghasia Burundi

Polisi wawili na waandamanaji sita nao walijeruhiwa.

Waandamanaji hao wanalalamikia hatua ya rais Pierre Nkurunziza ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.

viagra online pharmacy in australia BBC

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 wauawa kufuatia maandamano Niger

Watu watano wameuawa nchini Niger, ikiwa ni siku ya tatu ya maadamano ya kupinga kuchapishwa kwa kibonzo cha mtume Mohammed

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 9 wauawa Burundi

Watu tisa wameuawa usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura

 

9 years ago

Mtanzania

Watu wanane wauawa Burundi

BUNJUMBURA, BURUNDI

WATU wanane wameuawa kwa risasi kwenye mji mkuu wa Burundi, Bunjumbura usiku wa kuamkia jana.

Mji huo umekuwa ukikumbwa na mashambulizi ya risasi, milipuko ya mabomu tangu kumalizika kwa uchaguzi wa rais wenye utata miezi mitatu iliyopita.

Kwa mujibu ya walioshuhudia baadhi ya miili, ambayo ilikutwa katika barabara za vitongoji vya kaskazini mwa Bunjumbura ilikuwa na majeraha ya risasi kichwani, pamoja na alama za kamba kuashiria kuwa walifungwa nazo kabla ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 7 wauawa kinyama Burundi

Watu wenye silaha wamewapiga risasi na kuwauwa watu saba usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu wa Burundi- Bujumbura

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu saba wauawa kwa risasi Burundi

Watu saba wameuawa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kufuatia kinachodaiwa kuwa jaribio la wizi katika benki moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mmoja afa katika maandamano Burundi

Mtu mmoa amekufa na wengine tisa kujeruhiwa katika maandamano yanaendelea kupamba moto nchini Burundi.

 

10 years ago

Michuzi

WANNE WAFARIKI KATIKA MAANDAMANO BURUNDI

Vijana wakiwa katika Maandamano nchini Burundi
Watu wanne wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika maandamano ya kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania Urais kwa Mhula wa tatu.Mamia ya watu wamejitokeza kwenye maandamano hayo huku baadhi wakichoma moto baadhi ya vitu katika nchi hiyo.

Siku ya jumanne Mahakama ya Katiba ilikubali kuwa Rais Nkurunziza anaweza kugombea urais ambapo ilisema ni halali yeye kuwania tena urais kwa kipindi kingine cha miaka mitano.

Katika hotuba yake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu mmoja auawa katika maandamano Burundi

Mtu mmoja ameripotiwa kuuawa baada ya kupigwa risasi na maafisa wa polisi kufuatia ghasia kati ya polisi na waandamanaji mjini Bujumbura

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani