Mmoja afa katika maandamano Burundi
Mtu mmoa amekufa na wengine tisa kujeruhiwa katika maandamano yanaendelea kupamba moto nchini Burundi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Mtu mmoja auawa katika maandamano Burundi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--7RVYe9Nk6k/VUunDi-y3RI/AAAAAAAAAco/8jDrnAUFo64/s72-c/44.jpg)
WANNE WAFARIKI KATIKA MAANDAMANO BURUNDI
![](http://3.bp.blogspot.com/--7RVYe9Nk6k/VUunDi-y3RI/AAAAAAAAAco/8jDrnAUFo64/s640/44.jpg)
Watu wanne wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika maandamano ya kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania Urais kwa Mhula wa tatu.Mamia ya watu wamejitokeza kwenye maandamano hayo huku baadhi wakichoma moto baadhi ya vitu katika nchi hiyo.Siku ya jumanne Mahakama ya Katiba ilikubali kuwa Rais Nkurunziza anaweza kugombea urais ambapo ilisema ni halali yeye kuwania tena urais kwa kipindi kingine cha miaka mitano.Katika hotuba yake...
10 years ago
StarTV05 May
Watu 3 wauawa katika maandamano Burundi.
Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .
Polisi walifyatua risasi huku waandamanaji wakirusha mawe na guruneti.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504132657_burundi_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Ghasia Burundi
Polisi wawili na waandamanaji sita nao walijeruhiwa.
Waandamanaji hao wanalalamikia hatua ya rais Pierre Nkurunziza ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
viagra online pharmacy in australia BBC
10 years ago
BBCSwahili04 May
Watu 2 wauawa katika maandamano Burundi
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Maandamano London: Tulimsaidia mtu mmoja kutouwawa katika maandano ya Kifo cha George Floyd
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mmoja afa, watano wajeruhiwa Tarime
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Wachimbaji wafukiwa kifusi, mmoja afa
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Bomu lalipuka Zanzibar,mmoja afa saba wajeruhiwa
11 years ago
Michuzi15 May
Mtu mmoja afa kwa kunyongwa na watu wasiojulikana mkoani Pwani
MLINZI Bakari Mape (70) mkazi wa Mlandizi wilaya ya Kibaha mkoa wa Pwani ameuwawa kwa kunyongwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi.
Watu hao ambao idadi yao haikuweza kufahamika mara moja walimwua mlinzi huyo kwa kumvunja shingo kisha kuiba kwenye duka ambalo mlinzi huyo alikuwa akililinda.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani humo Kamishna Mwandamizi Msaidizi (SACP) Ulrich Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Mei 14 mwaka huu...