Watu 9 wauawa Burundi
Watu tisa wameuawa usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
Watu 7 wauawa kinyama Burundi
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Watu wanane wauawa Burundi
BUNJUMBURA, BURUNDI
WATU wanane wameuawa kwa risasi kwenye mji mkuu wa Burundi, Bunjumbura usiku wa kuamkia jana.
Mji huo umekuwa ukikumbwa na mashambulizi ya risasi, milipuko ya mabomu tangu kumalizika kwa uchaguzi wa rais wenye utata miezi mitatu iliyopita.
Kwa mujibu ya walioshuhudia baadhi ya miili, ambayo ilikutwa katika barabara za vitongoji vya kaskazini mwa Bunjumbura ilikuwa na majeraha ya risasi kichwani, pamoja na alama za kamba kuashiria kuwa walifungwa nazo kabla ya...
10 years ago
BBCSwahili04 May
Watu 2 wauawa katika maandamano Burundi
10 years ago
StarTV05 May
Watu 3 wauawa katika maandamano Burundi.
Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .
Polisi walifyatua risasi huku waandamanaji wakirusha mawe na guruneti.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504132657_burundi_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Ghasia Burundi
Polisi wawili na waandamanaji sita nao walijeruhiwa.
Waandamanaji hao wanalalamikia hatua ya rais Pierre Nkurunziza ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
viagra online pharmacy in australia BBC
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Watu saba wauawa kwa risasi Burundi
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Watawa 3 wakongwe wauawa Burundi
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Waasi waliojisalimisha wauawa Burundi
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
2 wauawa siku 1 kabla ya uchaguzi Burundi
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Watetezi wa chama tawala Burundi wauawa