Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


2 wauawa siku 1 kabla ya uchaguzi Burundi

Watu 2 wameuawa Burundi katika mashambulizi ya gruneti na risasi katika ngome za upinzani katika mji wa Bujumbura siku moja kabla ya uchaguzi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi

Serikali ya Burundi imekiri kuua watu 22 ndani ya siku chache zilizopita, kwa tuhuma za kufanya 'makosa' yanayohusishwa na uchaguzi mkuu ujao.

Vyombo vya dola nchini humo vimeripoti kuwa, watu hao waliuawa katika mji mkuu Bujumbura, na kwamba maafisa wawili wa polisi wameuawa pia katika ghasia hizo za kabla ya uchaguzi.

Vyombo vya usalama nchini Burundi vimesema kuwa, vimewatia mbaroni watu sita wanaohusishwa na uhalifu huo wa kabla ya uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu....

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi

Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.

 

10 years ago

Vijimambo

ZIMEBAKI SIKU 4 TU KABLA YA TICKET ZA DIAMOND UHURU PARTY SHOW HAZIJAPANDA,CHUKUA TICKET ZAKO KABLA YA NOV 10 KWA $75 TU.....BAADAYA NOV 10 ZITAKUWA $100

   
                                                  3 COURSE DINNER  & LIVE SHOW
                                                 LIVE SHOW *DIAMOND PLATNUMZ
                                                 LIVE SHOW TANZANIA ALL STARS 
                                                  RED CARPET WITH CELEBRITY HOST
                                                  PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER 
                                                                   CASH BAR
                             ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?

Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwanini Burundi imewatimua maafisa wa WHO?

Ujumbe kutoka kwa wizara ya mambo ya nje nchini Burundi, umetumwa mtandaoni ukiwataka wawakilishi wa Shirika la Afya Duniani kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 9 wauawa Burundi

Watu tisa wameuawa usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani

Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi waliojisalimisha wauawa Burundi

Mashahidi kadhaa wameiambia BBC kuwa Wanajeshi wa Burundi wamewaua waasi waliojisalimisha kwa Jeshi la nchi hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 7 wauawa kinyama Burundi

Watu wenye silaha wamewapiga risasi na kuwauwa watu saba usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu wa Burundi- Bujumbura

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani