2 wauawa siku 1 kabla ya uchaguzi Burundi
Watu 2 wameuawa Burundi katika mashambulizi ya gruneti na risasi katika ngome za upinzani katika mji wa Bujumbura siku moja kabla ya uchaguzi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dnMa02sjzgs/XlbV1BTsXNI/AAAAAAALfoY/SEVZdCraK2gFQu8PBnT9z7gHE7Q4k7iIgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpmd7e85570fc11veg_800C450.jpg)
Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi
![](https://1.bp.blogspot.com/-dnMa02sjzgs/XlbV1BTsXNI/AAAAAAALfoY/SEVZdCraK2gFQu8PBnT9z7gHE7Q4k7iIgCLcBGAsYHQ/s640/4bpmd7e85570fc11veg_800C450.jpg)
Vyombo vya dola nchini humo vimeripoti kuwa, watu hao waliuawa katika mji mkuu Bujumbura, na kwamba maafisa wawili wa polisi wameuawa pia katika ghasia hizo za kabla ya uchaguzi.
Vyombo vya usalama nchini Burundi vimesema kuwa, vimewatia mbaroni watu sita wanaohusishwa na uhalifu huo wa kabla ya uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu....
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s72-c/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
ZIMEBAKI SIKU 4 TU KABLA YA TICKET ZA DIAMOND UHURU PARTY SHOW HAZIJAPANDA,CHUKUA TICKET ZAKO KABLA YA NOV 10 KWA $75 TU.....BAADAYA NOV 10 ZITAKUWA $100
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s1600/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
LIVE SHOW *DIAMOND PLATNUMZ
LIVE SHOW TANZANIA ALL STARS
RED CARPET WITH CELEBRITY HOST
PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER
CASH BAR
...
5 years ago
BBCSwahili15 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?
Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika
5 years ago
BBCSwahili14 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwanini Burundi imewatimua maafisa wa WHO?
Ujumbe kutoka kwa wizara ya mambo ya nje nchini Burundi, umetumwa mtandaoni ukiwataka wawakilishi wa Shirika la Afya Duniani kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
5 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani
Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Waasi waliojisalimisha wauawa Burundi
Mashahidi kadhaa wameiambia BBC kuwa Wanajeshi wa Burundi wamewaua waasi waliojisalimisha kwa Jeshi la nchi hiyo.
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
Watu 7 wauawa kinyama Burundi
Watu wenye silaha wamewapiga risasi na kuwauwa watu saba usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu wa Burundi- Bujumbura
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania