Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili15 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?
Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika
5 years ago
BBCSwahili14 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwanini Burundi imewatimua maafisa wa WHO?
Ujumbe kutoka kwa wizara ya mambo ya nje nchini Burundi, umetumwa mtandaoni ukiwataka wawakilishi wa Shirika la Afya Duniani kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.
5 years ago
BBCSwahili18 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Je, upinzani utafurukuta ama kumsindikiza mgombea wa chama tawala?
Benki ya Dunia inakadiria kuwa watu saba kati ya kumi nchini Burundi ni masikini kupindukia.
5 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani
Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.
10 years ago
BBCSwahili20 May
Burundi itaahirisha uchaguzi?
Kumekuwa na maswali mengi kuhusu ukimya wa Rais Pierre Nkurunziza kuhusu kutekeleza ushauri wa jumuia ya kimataifa
10 years ago
BBCSwahili20 May
Burundi:Nkurunziza ahairisha uchaguzi
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amehairisha uchaguzi wa ubunge kwa siku 10 .Uchaguzi wa urais unaendelea mbele
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Uchaguzi wa urais nchini Burundi
Gruneti limelipuka katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura wakati nchi hiyo ikijiandaa kufanya uchaguzi wa urais.
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Burundi yaanza mikakati ya uchaguzi
Chama tawala nchini Burundi kimeanza mchakato wa uteuzi wa mwanachama atakayewania nafasi ya uraisi katika uchaguzi mkuu ujao
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Marekani yazungumzia uchaguzi Burundi
Marekani imesema uchaguzi wa Rais unaofanyika nchini Burundi umekosa uaminifu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania