Burundi:Nkurunziza ahairisha uchaguzi
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amehairisha uchaguzi wa ubunge kwa siku 10 .Uchaguzi wa urais unaendelea mbele
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEyWK0Rm8edDuzTYkexiDvdilltB2NbWK76Dm6w0dd69ksdBbFg-GT2dQotdBoUvTQXtJ-Yanh6vdzTnOHARN7lZ/NKURUNZIZA.jpg?width=650)
RAIS PIERRE NKURUNZIZA ASOGEZA MBELE UCHAGUZI WA WABUNGE BURUNDI
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza. RAIS wa Burundi, Pierre Nkurunziza amesogeza mbele uchaguzi wa wabunge kwa siku 10 hadi Juni 5 mwaka huu kufuatia jaribio la mapinduzi. Mmoja wa waandamanaji akiwa kapiga magoti mbele ya askari polisi. Msemaji wa Rais, Willy Nyamitwe ameliambia Shirika la Habari la AFP kuwa kufuatia jaribio la mapinduzi la wiki iliyopita na vurugu zilizofuatia ni bora kusogeza mbele uchaguzi huo kwa muda....
5 years ago
BBCSwahili19 May
Uchaguzi wa Burundi: Nkurunziza tayari kuwa 'mshauri wa ngazi ya juu'
Rais wa Burundi alifanya kila liwezekanalo kubakia mamlakani miaka mitano iliyopita lakini sasa anaondoka madarakani - walau rasmi.
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82631000/jpg/_82631562_82623383.jpg)
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Burundi:Rais Nkurunziza akemea mauaji
Rais wa Burundi,Pierre Nkurunziza amekemea mauaji ya aliyekuwa mkuu wa upelelezi nchini humo
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Burundi: Pierre Nkurunziza kuzikwa leo
Hafla ya mazishi zinatarajiwa kuongozwa na rais mpya jenerali Evariste Ndayishimiye na wakuu wengine wa serikali.
10 years ago
TheCitizen06 May
Burundi court approves Nkurunziza’s candidacy
>The Burundi Constitutional Court has approved the nomination of Mr Pierre Nkurunziza as the ruling CNDD-FDD party’s candidate for next month’s presidential election.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania