Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burundi: Pierre Nkurunziza kuzikwa leo

Hafla ya mazishi zinatarajiwa kuongozwa na rais mpya jenerali Evariste Ndayishimiye na wakuu wengine wa serikali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

PIERRE NKURUNZIZA KUZIKWA LEO

Pierre NkurunzizaCHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGESMwili wa aliyekuwa rais wa Burundi hayati Pierre Nkurunziza unazikwa leo kwenye makaburi ya mji wa Gitega ,mji mkuu wa kisiasa ulioko katikati mwa BurundiHafla ya mazishi zinatarajiwa kuongozwa na rais mpya jenerali Evariste Ndayishimiye na wakuu wengine wa serikali.Hayati Nkurunziza alifariki dunia tarehe 8 mwezi huu ,miezi miwili kabla ya kukabidhi madaraka kwa mrithi wake kufwatia uchaguzi uliofanyika mwezi wa tano.Kwa mjibu wa tangazo lililotolewa na serikali...

 

5 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?

Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais wa Burundi , Pierre Nkurunziza ni nani?

Nkurunziza ni kiongozi wa zamani wa waasi ambaye alijisifu kuwa ameleta amani katika utawala wake nchini Burundi.

 

5 years ago

BBC

Burundi President Pierre Nkurunziza dies of 'cardiac arrest' at 55

Pierre Nkurunziza was admitted to hospital on Saturday after feeling unwell, the government says.

 

10 years ago

Michuzi

EALA SPEAKER CALLS ON PRESIDENT PIERRE NKURUNZIZA OF BURUNDI

The Speaker of the East African Legislative Assembly, Rt. Hon Daniel Kidega this morning paid a courtesy call on the President of the Republic of Burundi, H.E. Pierre Nkurunziza at the Presidency in Bujumbura.
The President reiterated that Burundi was committed to the integration process and urged the Assembly to steady its mandate as it continues in its quest to serve East Africans President Nkurunziza remarked that the citizens of the region had continued to reap from the benefits of...

 

5 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza aliyekuwa rais wa Burundi amezikwa Gitega

Pierre Nkurunziza azikwa Gitega huku mke wake akimuombeleza na kusema amekufa kwa amani

 

5 years ago

BBC

Burundi President Pierre Nkurunziza dies of 'cardiac arrest'

Burundi President Pierre Nkurunziza died suddenly after being admitted to a hospital on Saturday.

 

10 years ago

Dewji Blog

President Pierre Nkurunziza returns to Burundi after ‘failed’ coup attempt

220419-01-02

BUJUMBURA

Burundian leader Pierre Nkurunziza has returned to the country, his office said Thursday, as a deputy coup leader said the attempt to overthrow the president had failed after fierce battles between rival army factions.

“President Pierre Nkurunziza is now in Burundi,” his senior communications advisor Willy Nyamitwe told AFP. “That’s all we can say for the now because of security reasons.”

Nkurunziza was in neighbouring Tanzania for regional talks Wednesday when the coup was...

 

5 years ago

Michuzi

BREAKING NYUUUUUZZZZZ.......: RAIS WA BURUNDI, PIERRE NKURUNZIZA AFARIKI DUNIA

 Rais wa Burundi ambaye anamaliza muda wake,  Pierre Nkurunziza (55) ameaga dunia leo wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Karusi nchini humo, baada ya kupata Shinikizo la damu.
Taarifa hizo zimetolewa hivi punde na kituo cha Mtandao wa Serikali ya Burundi ikithibitisha kifo jioni hii. Hivi karibuni iliripotiwa kuumwa kwake katika mitandao mbalimbali ambapo kabla ya kuumwa aliweza kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Nchi hiyo Mwezi Mei.
Tutaendelea kuwajuza kwa habari zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani