BREAKING NYUUUUUZZZZZ.......: RAIS WA BURUNDI, PIERRE NKURUNZIZA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-igGzfZYuz7I/Xt-kRwu4pmI/AAAAAAALtNU/47t5t8Z5IVoL-K4HtercVVOboELSTYB_ACLcBGAsYHQ/s72-c/pierre-nkurunziza-afp-650650x40081431127999.jpg)
Rais wa Burundi ambaye anamaliza muda wake, Pierre Nkurunziza (55) ameaga dunia leo wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Karusi nchini humo, baada ya kupata Shinikizo la damu.
Taarifa hizo zimetolewa hivi punde na kituo cha Mtandao wa Serikali ya Burundi ikithibitisha kifo jioni hii. Hivi karibuni iliripotiwa kuumwa kwake katika mitandao mbalimbali ambapo kabla ya kuumwa aliweza kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Nchi hiyo Mwezi Mei.
Tutaendelea kuwajuza kwa habari zaidi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Rais wa Burundi , Pierre Nkurunziza ni nani?
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Pierre Nkurunziza aliyekuwa rais wa Burundi amezikwa Gitega
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZfyI4Q_LPJ4/XuPeSvLcwNI/AAAAAAALtpI/ErHmkADQ2F4mmt_LgxVc4rx0xHv1Ny3igCLcBGAsYHQ/s72-c/w.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEyWK0Rm8edDuzTYkexiDvdilltB2NbWK76Dm6w0dd69ksdBbFg-GT2dQotdBoUvTQXtJ-Yanh6vdzTnOHARN7lZ/NKURUNZIZA.jpg?width=650)
RAIS PIERRE NKURUNZIZA ASOGEZA MBELE UCHAGUZI WA WABUNGE BURUNDI
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amepatwa na mshtuko wa moyo akiwa na miaka 55
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Pierre Nkurunziza: Baraza la mawaziri lasema litaongoza Burundi hadi rais atakapoapishwa
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Domitien Ndayizeye aliyekuwa rais wa Burundi asikitishwa na kifo cha Pierre Nkurunziza
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Pierre Nkurunziza:Duru za kuaminika zathibitisha kifo cha Rais wa Burundi kimetokana na Covid 19