Burundi:Rais Nkurunziza akemea mauaji
Rais wa Burundi,Pierre Nkurunziza amekemea mauaji ya aliyekuwa mkuu wa upelelezi nchini humo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
RAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZfyI4Q_LPJ4/XuPeSvLcwNI/AAAAAAALtpI/ErHmkADQ2F4mmt_LgxVc4rx0xHv1Ny3igCLcBGAsYHQ/s72-c/w.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakimjulia hali na kumfariji Mjane wa marehemu Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi Bibi Rev Denise Nkurunziza wakati alipofika nyumbani kwa marehemu Nkurunziza Jijini Bujumbura Nchini Burundi jana jioni kwa...
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Rais wa Burundi , Pierre Nkurunziza ni nani?
Nkurunziza ni kiongozi wa zamani wa waasi ambaye alijisifu kuwa ameleta amani katika utawala wake nchini Burundi.
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Rais Nkurunziza aomba utulivu Burundi
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameomba utulivu baada ya wapiganaji waliovalia magwanda ya kijeshi kumuua mmoja ya majenerali walio na ushawishi mkubwa serikalini.
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Waasi Burundi wapanga kumng’oa Rais Nkurunziza
Mmoja wa viongozi wa mapinduzi yaliyozimwa nchini Burundi hivi karibuni ya kutaka kumwondosha madarakani Rais Pierre Nkurunziza, amesema mikakati mingine inaendelea kupangwa ili kumng’oa kiongozi huyo madarakani.
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Pierre Nkurunziza aliyekuwa rais wa Burundi amezikwa Gitega
Pierre Nkurunziza azikwa Gitega huku mke wake akimuombeleza na kusema amekufa kwa amani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-igGzfZYuz7I/Xt-kRwu4pmI/AAAAAAALtNU/47t5t8Z5IVoL-K4HtercVVOboELSTYB_ACLcBGAsYHQ/s72-c/pierre-nkurunziza-afp-650650x40081431127999.jpg)
BREAKING NYUUUUUZZZZZ.......: RAIS WA BURUNDI, PIERRE NKURUNZIZA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-igGzfZYuz7I/Xt-kRwu4pmI/AAAAAAALtNU/47t5t8Z5IVoL-K4HtercVVOboELSTYB_ACLcBGAsYHQ/s640/pierre-nkurunziza-afp-650650x40081431127999.jpg)
Taarifa hizo zimetolewa hivi punde na kituo cha Mtandao wa Serikali ya Burundi ikithibitisha kifo jioni hii. Hivi karibuni iliripotiwa kuumwa kwake katika mitandao mbalimbali ambapo kabla ya kuumwa aliweza kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Nchi hiyo Mwezi Mei.
Tutaendelea kuwajuza kwa habari zaidi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania