RAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
Pierre NkurunzizaIkulu, Chamwino.
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZfyI4Q_LPJ4/XuPeSvLcwNI/AAAAAAALtpI/ErHmkADQ2F4mmt_LgxVc4rx0xHv1Ny3igCLcBGAsYHQ/s72-c/w.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-DBjTq9G57iM/XuQ1gu8lV0I/AAAAAAAC7bk/Rx8S1dzCMKogVhVsFMvf5u6-aNQEa9B9ACLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aR_btM6ynds/XuXywl5T8_I/AAAAAAABMXI/4KCJQIP4YhwzX0bonbrbXSYGEmOFalYOwCLcBGAsYHQ/s72-c/EadnFvpXkAAa2Gm.jpeg)
RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI, NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aR_btM6ynds/XuXywl5T8_I/AAAAAAABMXI/4KCJQIP4YhwzX0bonbrbXSYGEmOFalYOwCLcBGAsYHQ/s400/EadnFvpXkAAa2Gm.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YN9dOei-atc/XuXywi-rqjI/AAAAAAABMXA/rIwB8d19V-A0iZay7SEKWHvtSOaAcy5BACLcBGAsYHQ/s400/EadnFviXQAAMI0g.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fuSZEj6KE40/XuXywtUVV6I/AAAAAAABMXE/cNN-D3X69SQOG7CHIboW1doEHShG3VxRACLcBGAsYHQ/s400/JK.jpeg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--YLvC7HxVPk/XuTUIj9ZU5I/AAAAAAAC7eg/GRkyOc-nMPUBwwJC4nQ35t6R2jIA-qnDwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RWANDA YATANGAZA MAOMBOLEZO YA KITAIFA KIFO CHA RAIS WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/--YLvC7HxVPk/XuTUIj9ZU5I/AAAAAAAC7eg/GRkyOc-nMPUBwwJC4nQ35t6R2jIA-qnDwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Rais wa Rwanda Paul Kagame ametangaza maombolezo ya Kitaifa Rwanda kufuatia kifo cha Nkurunziza na ameagiza Bendera ya Rwanda na ya Jumuiya ya Afrika Mashariki zote zipeperushwe nusu mlingoti nchini humo kuanzia leo June 13 hadi siku Nkurunziza atakapozikwa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-R2gMryf5yr4/XuTUQ2vpUjI/AAAAAAAC7ek/10qYTdCEl0QZmheEiNRbXkl0Fx3gPv_zACLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Domitien Ndayizeye aliyekuwa rais wa Burundi asikitishwa na kifo cha Pierre Nkurunziza
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Pierre Nkurunziza:Duru za kuaminika zathibitisha kifo cha Rais wa Burundi kimetokana na Covid 19
5 years ago
MichuziDKT. NDUMBARO ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA RAIS NKURUNZIZA
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tNdl7USWnHE/XqvDvqNxUII/AAAAAAALouM/Fz0DNJC4wm4HiUGBcusNWlnLG0XeUn61wCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bmahiga.jpg)
NEWZ ALERT: Rais DKT Magufuli atangaza kifo cha Waziri Augustine Mahiga
![](https://1.bp.blogspot.com/-tNdl7USWnHE/XqvDvqNxUII/AAAAAAALouM/Fz0DNJC4wm4HiUGBcusNWlnLG0XeUn61wCLcBGAsYHQ/s640/pic%252Bmahiga.jpg)
Pichani ni aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga (Mbunge) aliyefariki leo tarehe 01 Mei, 2020 Jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3MJbvLHupIo/XqvDvmhQ0HI/AAAAAAALouI/6euLP_Yhfpc4uRS5BcyRyw4zlo4LNtFqQCLcBGAsYHQ/s1600/fc75030c-8c78-4d9b-944e-f591b032c434.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gctU6T8RFoE/Xuo3iptHHsI/AAAAAAALuRw/TbBCpclqoEEGK63kb9vuUpiSYwl2-QbawCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_2103AAA-768x510.jpg)
WAZIRI MKUU ATIA SANI KITABU CHA MAOMBOLEZO KIFO CHA NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gctU6T8RFoE/Xuo3iptHHsI/AAAAAAALuRw/TbBCpclqoEEGK63kb9vuUpiSYwl2-QbawCLcBGAsYHQ/s640/PMO_2103AAA-768x510.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kwenye Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es salaam, Juni 17, 2020. Wa pili kulia ni Balozi wa Burundi nchini, Mhe. Abayeho Gervais.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_2113AAAA-1024x610.jpg)