Waasi Burundi wapanga kumng’oa Rais Nkurunziza
Mmoja wa viongozi wa mapinduzi yaliyozimwa nchini Burundi hivi karibuni ya kutaka kumwondosha madarakani Rais Pierre Nkurunziza, amesema mikakati mingine inaendelea kupangwa ili kumng’oa kiongozi huyo madarakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV13 Nov
Upinzani wapanga kumng’oa Rais Zuma.
Upinzani nchini Afrika Kusini unatarajiwa kuwasilisha bungeni hoja ya kutaka kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo.
Wabunge wa upinzani nchini humo wamesema kauli mbiu yao ni Rais Zuma lazima aende.
Wakati hayo yakijiri, Kamati ya wabunge wa chama tawala cha ANC watakuwa wakiwasilisha mbele ya Spika wa bunge uchunguzi wao walioufanya kuonyesha kuwa Rais Jacob Zuma hakuhusika na ubadhirifu wa kiasi cha dola millioni 22 zilizotumika kujenga Kasri lake huko Nkandla.
BBC
10 years ago
GPLWANAHARAKATI WA BURUNDI WAWATAKA MARAIS WA EAC KUTUMIA NGUVU ZA KIJESHI KUMNG’OA NKURUNZIZA
10 years ago
Mwananchi16 May
Nkurunziza atua Burundi, waasi watatu wakamatwa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
RAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZfyI4Q_LPJ4/XuPeSvLcwNI/AAAAAAALtpI/ErHmkADQ2F4mmt_LgxVc4rx0xHv1Ny3igCLcBGAsYHQ/s72-c/w.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakimjulia hali na kumfariji Mjane wa marehemu Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi Bibi Rev Denise Nkurunziza wakati alipofika nyumbani kwa marehemu Nkurunziza Jijini Bujumbura Nchini Burundi jana jioni kwa...
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Rais wa Burundi , Pierre Nkurunziza ni nani?
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Burundi:Rais Nkurunziza akemea mauaji