Upinzani wapanga kumng’oa Rais Zuma.
Upinzani nchini Afrika Kusini unatarajiwa kuwasilisha bungeni hoja ya kutaka kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo.
Wabunge wa upinzani nchini humo wamesema kauli mbiu yao ni Rais Zuma lazima aende.
Wakati hayo yakijiri, Kamati ya wabunge wa chama tawala cha ANC watakuwa wakiwasilisha mbele ya Spika wa bunge uchunguzi wao walioufanya kuonyesha kuwa Rais Jacob Zuma hakuhusika na ubadhirifu wa kiasi cha dola millioni 22 zilizotumika kujenga Kasri lake huko Nkandla.
BBC
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Waasi Burundi wapanga kumng’oa Rais Nkurunziza
Mmoja wa viongozi wa mapinduzi yaliyozimwa nchini Burundi hivi karibuni ya kutaka kumwondosha madarakani Rais Pierre Nkurunziza, amesema mikakati mingine inaendelea kupangwa ili kumng’oa kiongozi huyo madarakani.
10 years ago
VijimamboRAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MA1_ZFohI7c/VJgW4lraY4I/AAAAAAAAZho/geWMTtNN3d0/s640/D92A4124.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Haiti waandamana kumng'oa Rais wao
Mamia ya raia wa nchini Haiti wameandamana katika mitaa ya Port-au-Prince wakishinikiza Rais Michel Martelly kuondoka
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Mjbvgkdwoh0/U4ClEr5ZKgI/AAAAAAAFkv4/Inhsv1mGx-o/s1600/unnamed+(12).jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA KULA KIAPO ZA RAIS ZUMA WA AFRIKA KUSINI LEO
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini leo Mei 24, 2014.
Rais Jacob Zuma akila kiapo katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria wakati wa sherehe za kuapishwa kwake leo Mei 24, 2014.
Ndege za kijeshi zikiunda umbo la "20" kuashiria miaka ishirini ya uhuru kamili...
![](http://1.bp.blogspot.com/-k3Gk-krLbzw/U4ClEnpY0II/AAAAAAAFkv8/syP5OXIycmQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-11-W82KaMJM/U4CrMheauXI/AAAAAAAFkws/wwAbpDZAwSM/s1600/unnamed+(14).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s72-c/pre1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI PRETORIA KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA RAIS WA AFRIKA KUSINI MHE JACOB ZUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s1600/pre1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ie_VJFYFN2M/U4BTr80DnFI/AAAAAAAFktc/anGRX1hQVQo/s1600/pre2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yXJ2qmtAGsk/U4BTsBA36fI/AAAAAAAFktk/erLnSWG_lPQ/s1600/pre3.jpg)
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Mwanawe Rais Zuma matatani
Mwanawe Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, Duduzane Zuma huenda akashitakiwa kwa kuendesha vibaya gari na kumuua mwanamke mmoja
11 years ago
BBCSwahili06 May
Je ANC ni maarufu kuliko Rais Zuma?
Uchaguzi unaponukia Afrika Kusini, kuna dalili kuwa waafrika weusi wangali wanakienzi chama cha ANC
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania