Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upinzani wapanga kumng’oa Rais Zuma.

Upinzani nchini Afrika Kusini unatarajiwa kuwasilisha bungeni hoja ya kutaka kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo.

 
Wabunge wa upinzani nchini humo wamesema kauli mbiu yao ni Rais Zuma lazima aende.

 
Wakati hayo yakijiri, Kamati ya wabunge wa chama tawala cha ANC watakuwa wakiwasilisha mbele ya Spika wa bunge uchunguzi wao walioufanya kuonyesha kuwa Rais Jacob Zuma hakuhusika na ubadhirifu wa kiasi cha dola millioni 22 zilizotumika kujenga Kasri lake huko Nkandla.

 

BBC

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waasi Burundi wapanga kumng’oa Rais Nkurunziza

Mmoja wa viongozi wa mapinduzi yaliyozimwa nchini Burundi hivi karibuni ya kutaka kumwondosha madarakani Rais Pierre Nkurunziza, amesema mikakati mingine inaendelea kupangwa ili kumng’oa kiongozi huyo madarakani.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini leo ikulu jijini Dar es Salaam

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe

  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini pamoja na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC) wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe kwa ajili ya viongozi wa SADC wanaohudhuria mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC unaofanyika katika mji wa Victoria Falls nchini Zimbabwe(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

BBCSwahili

Haiti waandamana kumng'oa Rais wao

Mamia ya raia wa nchini Haiti wameandamana katika mitaa ya Port-au-Prince wakishinikiza Rais Michel Martelly kuondoka

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA KULA KIAPO ZA RAIS ZUMA WA AFRIKA KUSINI LEO

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini leo Mei 24, 2014. Rais Jacob Zuma akila kiapo katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria wakati wa sherehe za kuapishwa kwake leo Mei 24, 2014. 
Ndege za kijeshi zikiunda umbo la "20" kuashiria miaka ishirini ya uhuru kamili...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWASILI PRETORIA KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA RAIS WA AFRIKA KUSINI MHE JACOB ZUMA

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili jijini Pretoria, Afrika Kusini, usiku wa kuamkia leo Mei 24, 2014 tayari kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini Mhe Jacob Zuma leo Jumamosi Mei 24, 2014 katika Nelson Mandela Amphitheater (kumbi wa wazi wa Nelson Mandela) ambapo viongozi toka nchi 40 pamojan na Marais Wastaafu sita wanahudhuria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanawe Rais Zuma matatani

Mwanawe Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, Duduzane Zuma huenda akashitakiwa kwa kuendesha vibaya gari na kumuua mwanamke mmoja

 

11 years ago

BBCSwahili

Je ANC ni maarufu kuliko Rais Zuma?

Uchaguzi unaponukia Afrika Kusini, kuna dalili kuwa waafrika weusi wangali wanakienzi chama cha ANC

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani