Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nkurunziza atua Burundi, waasi watatu wakamatwa

>Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amewasili jijini Bujumbura ikiwa ni siku mbili baada ya waasi kutangaza kumuondoa madarakani na tayari majenerali watatu waliotangaza mapinduzi wamekamatwa huku wanajeshi 12 wakiuawa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waasi Burundi wapanga kumng’oa Rais Nkurunziza

Mmoja wa viongozi wa mapinduzi yaliyozimwa nchini Burundi hivi karibuni ya kutaka kumwondosha madarakani Rais Pierre Nkurunziza, amesema mikakati mingine inaendelea kupangwa ili kumng’oa kiongozi huyo madarakani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?

Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi waunda vuguvugu dhidi ya Nkurunziza

Waasi wanaompinga rais Pierre Nkurunziza wameungana kuunda vuguvugu moja linalofahamika kama The Republican Force of Burundi, na limetangaza vita dhidi ya kiongozi huyo.

 

10 years ago

Habarileo

Waliojaribu kumpindua Nkurunziza wakamatwa

Rais Pierre Nkurunziza wa BurundiMAJENERALI watatu wa jeshi la Burundi wanaotuhumiwa kujaribu kupindua serikali ya Rais Pierre Nkurunziza wamekamatwa, zimesema taarifa kutoka nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafuasi watatu wa IS,wakamatwa Marekani

Maafisa wa polisi nchini Marekani,wamewakamata wanaume watatu kwa njama za kuwaunga mkono Islamic State.

 

10 years ago

Vijimambo

Wafuasi watatu wa IS,wakamatwa Marekani

Wapiganaji wa Islamic StateMaafisa wa Polisi nchini Marekani,wamewakamata wanaume watatu kwa njama za kuwaunga mkono wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State.

Wanaume wote hao ni wakaazi wa mji mkuu wa nchi hiyo New York. Wawili kati yao wanatokea Kazakhstan na Uzbekistan, na mwingine ni wa kutoka Uzbek yeye alimakatwa mjini Florida.

Wawili kati ya wanaume hao walikuwa na mpango wa kusafiri kuelekea nchini Syria

Kwa mujibu wa Shirika la Ujasusi la Marekani FBI watuhumiwa wawili kati yao...

 

11 years ago

Mwananchi

Watatu wakamatwa wakidaiwa kuvuruga Bunge

Bunge la Katiba jana lilianza kujadili Rasimu ya Katiba kwa misukosuko kwenye Kamati baada ya kuvamiwa na kundi la wanaharakati waliokuwa na mabango wakidai hati halisi ya Muungano yenye saini za Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Karume.

 

11 years ago

GPL

WATATU WAKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI MBAGALA, DAR

Ngozi ya chui na nyara nyingine zilizokamatwa.
Meno ya tembo yaliyopatikana kwa watuhumiwa.
Kamishna  Kova akionyesha baadhi ya nyara walizozikamata. WANAWAKE…

 

11 years ago

Mwananchi

Watu watatu wakamatwa kwa mauaji ya Karegeya

>Watu watatu wamekamatwa wakihusishwa na mauaji ta mkuu wa zamani wa ujasusi wa Rwanda, Patrick Karegeya aliyekutwa akiwa amekufa kwenye Hoteli ya Sandton mjini Johannesburg, Afrika Kusini wiki moja iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani