Nkurunziza atua Burundi, waasi watatu wakamatwa
>Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amewasili jijini Bujumbura ikiwa ni siku mbili baada ya waasi kutangaza kumuondoa madarakani na tayari majenerali watatu waliotangaza mapinduzi wamekamatwa huku wanajeshi 12 wakiuawa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Waasi Burundi wapanga kumng’oa Rais Nkurunziza
Mmoja wa viongozi wa mapinduzi yaliyozimwa nchini Burundi hivi karibuni ya kutaka kumwondosha madarakani Rais Pierre Nkurunziza, amesema mikakati mingine inaendelea kupangwa ili kumng’oa kiongozi huyo madarakani.
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.
9 years ago
BBCSwahili24 Dec
Waasi waunda vuguvugu dhidi ya Nkurunziza
Waasi wanaompinga rais Pierre Nkurunziza wameungana kuunda vuguvugu moja linalofahamika kama The Republican Force of Burundi, na limetangaza vita dhidi ya kiongozi huyo.
10 years ago
Habarileo16 May
Waliojaribu kumpindua Nkurunziza wakamatwa
MAJENERALI watatu wa jeshi la Burundi wanaotuhumiwa kujaribu kupindua serikali ya Rais Pierre Nkurunziza wamekamatwa, zimesema taarifa kutoka nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Wafuasi watatu wa IS,wakamatwa Marekani
Maafisa wa polisi nchini Marekani,wamewakamata wanaume watatu kwa njama za kuwaunga mkono Islamic State.
10 years ago
Vijimambo26 Feb
Wafuasi watatu wa IS,wakamatwa Marekani

Wanaume wote hao ni wakaazi wa mji mkuu wa nchi hiyo New York. Wawili kati yao wanatokea Kazakhstan na Uzbekistan, na mwingine ni wa kutoka Uzbek yeye alimakatwa mjini Florida.
Wawili kati ya wanaume hao walikuwa na mpango wa kusafiri kuelekea nchini Syria
Kwa mujibu wa Shirika la Ujasusi la Marekani FBI watuhumiwa wawili kati yao...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watatu wakamatwa wakidaiwa kuvuruga Bunge
Bunge la Katiba jana lilianza kujadili Rasimu ya Katiba kwa misukosuko kwenye Kamati baada ya kuvamiwa na kundi la wanaharakati waliokuwa na mabango wakidai hati halisi ya Muungano yenye saini za Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Karume.
11 years ago
GPLWATATU WAKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI MBAGALA, DAR
Ngozi ya chui na nyara nyingine zilizokamatwa.
Meno ya tembo yaliyopatikana kwa watuhumiwa.
Kamishna Kova akionyesha baadhi ya nyara walizozikamata. WANAWAKE…
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Watu watatu wakamatwa kwa mauaji ya Karegeya
>Watu watatu wamekamatwa wakihusishwa na mauaji ta mkuu wa zamani wa ujasusi wa Rwanda, Patrick Karegeya aliyekutwa akiwa amekufa kwenye Hoteli ya Sandton mjini Johannesburg, Afrika Kusini wiki moja iliyopita.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania