Watatu wakamatwa wakidaiwa kuvuruga Bunge
Bunge la Katiba jana lilianza kujadili Rasimu ya Katiba kwa misukosuko kwenye Kamati baada ya kuvamiwa na kundi la wanaharakati waliokuwa na mabango wakidai hati halisi ya Muungano yenye saini za Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Karume.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Aug
Watatu wauawa wakidaiwa kupora pikipiki
VIJANA watatu ambao hawajafahamika majina yao wanaokadiriwa kuwa na kati ya miaka 25 na 30, wameuawa na wananchi na kisha kuchomwa moto kwa tuhuma za kupora pikipiki.
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Kuna njama kuvuruga Bunge
11 years ago
Habarileo27 Mar
Sitta: Kuna mpango kuvuruga Bunge
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samwel Sitta amefichua siri za kuwepo kwa mipango ya siri, inayodaiwa kufanywa na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kuvuruga mchakato wa kuundwa kwa Katiba mpya.
10 years ago
Vijimambo26 Feb
Wafuasi watatu wa IS,wakamatwa Marekani
Wanaume wote hao ni wakaazi wa mji mkuu wa nchi hiyo New York. Wawili kati yao wanatokea Kazakhstan na Uzbekistan, na mwingine ni wa kutoka Uzbek yeye alimakatwa mjini Florida.
Wawili kati ya wanaume hao walikuwa na mpango wa kusafiri kuelekea nchini Syria
Kwa mujibu wa Shirika la Ujasusi la Marekani FBI watuhumiwa wawili kati yao...
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Wafuasi watatu wa IS,wakamatwa Marekani
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Watu watatu wakamatwa kwa mauaji ya Karegeya
11 years ago
GPLWATATU WAKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI MBAGALA, DAR
10 years ago
Mwananchi16 May
Nkurunziza atua Burundi, waasi watatu wakamatwa
10 years ago
VijimamboWATATU WAKAMATWA NA DOLA FEKI ZENYE THAMANI YA MILIONI 20
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Fresser Kashai akiwaonyesha waandishi wa habari mkoani hapa Dola Feki za kimarekani. Picha na Elizabeth Kilindi, Tanga.Na Elizabeth Kilindi, TANGA
WATU watatu wanaojishughulisha na biashara ya uuzaji wa noti bandia mkoani Tanga wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa wakiwa na dola za kimarekani zenye thamani ya 11200 ambazo ni sawa na shilingi milioni 20 za Kitanzania.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Fresser Kashai aliwaambia waandishi wahabari...