WATATU WAKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI MBAGALA, DAR
Ngozi ya chui na nyara nyingine zilizokamatwa. Meno ya tembo yaliyopatikana kwa watuhumiwa. Kamishna Kova akionyesha baadhi ya nyara walizozikamata. WANAWAKE…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 May
Raia wapya wakamatwa na nyara za serikali
POLISI mkoani Katavi imewakamata raia wapya watatu waliokuwa wakimbizi kutoka Burundi kwa kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-e6it2mpQFL8/VZIdwU6CSVI/AAAAAAABBjE/iBLFSPivXD0/s72-c/JESHI%2BLOGO.jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM KWA TUHUMA ZA MAUAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-e6it2mpQFL8/VZIdwU6CSVI/AAAAAAABBjE/iBLFSPivXD0/s320/JESHI%2BLOGO.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya mmiliki wa shule ya Mtakatifu Zion iliyopo maeneo ya Ununio, Mbezi Beach wilaya ya kipolisi Kawe mkoa wa kipolisi wa Kinondoni aliyejulikana kwa jina la ANNA D/O MIZINGI, Miaka 48, Mfanyabiashara, Mkazi wa Boko.
Mnamo tarehe 02/02/2015 majira ya saa za mchana mtoa taarifa alifika kituo cha Polisi na kueleza kwamba marehemu ANNA D/O MIZINGI aliondoka tangu tarehe 26/12/2014 majira ya saa 1:00hrs...
10 years ago
MichuziRAIA WATATU WA KIGENI WAKAMATWA KWA MAKOSA YA WIZI WA MTANDAO KATIKA MABENKI JIJINI DAR ES SALAAM.
Polisi wa kikosi Maalum cha kupambana na wizi wa mtandao (Cyber Crime) walipata taarifa za kuaminika kwamba watu hao watatu walikuwa katika mazingira ya kutiliwa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Wakamatwa na nyara za mil. 200/-
WATU sita wakazi wa wilayani ya Manyoni mkoani Singida, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali zenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 200....
10 years ago
Vijimambo26 Feb
Wafuasi watatu wa IS,wakamatwa Marekani
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2015/02/26/150226020722_islamic_state_304x171_afp_nocredit.jpg)
Wanaume wote hao ni wakaazi wa mji mkuu wa nchi hiyo New York. Wawili kati yao wanatokea Kazakhstan na Uzbekistan, na mwingine ni wa kutoka Uzbek yeye alimakatwa mjini Florida.
Wawili kati ya wanaume hao walikuwa na mpango wa kusafiri kuelekea nchini Syria
Kwa mujibu wa Shirika la Ujasusi la Marekani FBI watuhumiwa wawili kati yao...
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Wafuasi watatu wa IS,wakamatwa Marekani
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watatu wakamatwa wakidaiwa kuvuruga Bunge
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT35NUbiBOExD*JHkw2Crt902WbQN4YZ*FVakLGCGEPhHg*3-MFklN*11KRmR-35JT3*UtugS*qdHAHwrd3J18lx/1.jpg)
TUKIO LA MOTO MBAGALA: WATATU WAFARIKI, SITA HOI MUHIMBILI
10 years ago
Mwananchi16 May
Nkurunziza atua Burundi, waasi watatu wakamatwa